mkewe anamfichia siri kubwa labda ana kibamia
Maamuzi yako binafsi ni muhimu.....ila kama huitaji kuendelea kuishi naye basi astahili adhabu yeyote zaidi ya kuchukua kilicho chake na kusepa!Wana jf leo nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo ukizingatia huificha kibindoni kila dakika,leo alipotea timing hivyo aliiwacha katika kochi sebuleni,kilicho nisitua ni vibration hamadi nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa "mmewangu"hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?
Hahaha lmfao. Hebu nisaidie kusexisha jina la paw manake nataka nimsave kisexysexy paaaaap!
Ukimwi hauji pole pole!Umeuliza wana uhusiano gani?acha mawenge tulizana.
Wewe una namba ngapi za wanawake kwenye simu yako?
Nenda polepole uongo utajitenga tu na ukweli utaonekana..
Relax
Umeuliza wana uhusiano gani?acha mawenge tulizana.
Wewe una namba ngapi za wanawake kwenye simu yako?
Nenda polepole uongo utajitenga tu na ukweli utaonekana..
Relax
kwa hiyo.mume akiwa na.kibamia suluhisho ni kuchepuka?
Wanamme mna kazi sana.
Mamito kuwa mpole, kwa vile wewe upo mjini jaribu kupiga namba zifuatayo ukianzia na 0 hadi 9 mwishoni utampata huyo omary (0718 178 87(.). Ukimpata mtafazalishe aachane na mke wa huyu jamaa ukimpiga mkwara kuwa ana miwaya. Nitakushukuru kwa msaada huo. Baadaye usisahau kuleta mrejesho hapa jamviniukome kupekua simu ya mwenzio.... kwa hiyo umetoa wapi guvu za kuandika uzi ? nataka kuamini wewe unashida kitandani au mbahili au mchoyo au unakibamia ndiyo maana ujachukua hatua mpaka sasa kwa kuwa anakufichia siri
Ukimwi hauji pole pole!
Majibu sahihi ni muhimu kupatikana on time and no delay, huyo mwanamke ni muhalifu kama muhalifu mwingine!
ukome kupekua simu ya mwenzio.... kwa hiyo umetoa wapi guvu za kuandika uzi ? nataka kuamini wewe unashida kitandani au mbahili au mchoyo au unakibamia ndiyo maana ujachukua hatua mpaka sasa kwa kuwa anakufichia siri[/QUOTE miss chagga uamifu ktk ndoa ni jambo la muhimu sana/nimemtandika sana mikanda/by tommorrow namrudisha kwao mbeya/ujinga huu hauvumiliki!
mwanamke mwenzie amsave 'mume wangu'.
Huu urafiki wa kisasa siuelewagi.
Kama nimezoe kupigwa miti nasikilizia kooni nakuja kutana na kitu konagusa juu juu unategemea what next?
ukome kupekua simu ya mwenzio.... kwa hiyo umetoa wapi guvu za kuandika uzi ? nataka kuamini wewe unashida kitandani au mbahili au mchoyo au unakibamia ndiyo maana ujachukua hatua mpaka sasa kwa kuwa anakufichia siri[/QUOTE miss chagga uamifu ktk ndoa ni jambo la muhimu sana/nimemtandika sana mikanda/by tommorrow namrudisha kwao mbeya/ujinga huu hauvumiliki!
Mie nimekusave baby..