PetterIsuti
Senior Member
- Nov 29, 2014
- 118
- 28
Habari wana jamvi, nina simu aina ya Samsung nilikuwa niliuziwa na mtu, kwa bahati mbaya hii simu kumbe ni zile za mkopo za M Koba Ya Uganda, nimekuwa natumia vzr lakn leo imejifunga na inaomba kulipiwa bahati mbaya mm sijui hizo namba za kulipia za Uganda, km kuna mtu anaweza kujua namna ya kuilipia au kunlock anisaidie