Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,848
Hii sio simu bali ni bomu lijalo
mkuu ukisikia simu yako ina 2.5ghz usifikiri inarun kwa 2.5ghz bali muda mwingi inakaa 300mhz hadi 1ghz ndio maana unaona imepoa.Kwa teknolojia tunayoiendea posibility ya kutengeneza Poa
Xiaomi bezel mix ndo beast ktk industry sasa hivi so far. Youtube it
Asante chiefhizo kamba tu na nyie mnaamini, simu yenye highend soc moja tu ni ngumu kuipoza hadi makampuni yanapoza simu kwa maji siku hizi, sembuse wao waeke soc mbili? labda wanatengeneza simu ya kukaangia mayai?
Nne ni double?Hatari sana. Wamenishawishi sana lakini ilipofika tu kwenye kuweka line nne,aaagh! Sipendi simu ya double line kabisa