Simu ya kiganjani

Hbr yenu wakuu
Nawaalika tujadili kwa pamoja kama ni vyema Mke na mume kukaguana simu.
Nijuavyo Mimi simu ya kiganjani ni Mali binafsi kwa matumizi binafsi na haipaswi kutazamwa na mtu asiye mmliki pasi ya ruhusa ya mmiliki.
Wewe unasemaje?
Issue ni pale unapoona mwenza amehisha mapenzi kwenye simu. Mtu yupo bize na simu hadi inaboa, so hapo lazima mtu atakuwa na doubts, na kujaribu kufanya "uchunguzi yakinifu".



Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Tanzania unakuta mtu yupo ktk ndoa ana michepuko mitano kati ya hiyo miwili nayo ipo ktk ndoa ukija fuatilia michepuko ya hao wengine pia utaona bora kusiwe na ndoa maana utulivu ni sifuri.
Hahaha ndoa bila michepuko inawezekana??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…