Simu ya kifo ilikuwa ni kitabu cha riwaya enzi zile kabla digitali haijaingia nchini mwandishi wake alikuwa huyo katambula na hapo ilikuwa ni uzinduzi wa hicho kitabu
Asante sana mkuu. Lakini kwenye copy ya kitabu hicho kuna herufi za Kijerumani zisizofahamika. Nani kanipa kitabu kamili cha SIMU YA KIFO kwa Kiswahili? Shukrani