Simu ya Kifo

Simu ya Kifo

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
simu%2Byakifo1.jpg
 
nimetoka kapa

Simu ya kifo ilikuwa ni kitabu cha riwaya enzi zile kabla digitali haijaingia nchini mwandishi wake alikuwa huyo katambula na hapo ilikuwa ni uzinduzi wa hicho kitabu
 
Asante sana riwaya nzur inafikirisha haichoshi kuisoma
 
Asante sana mkuu. Lakini kwenye copy ya kitabu hicho kuna herufi za Kijerumani zisizofahamika. Nani kanipa kitabu kamili cha SIMU YA KIFO kwa Kiswahili? Shukrani
 
Back
Top Bottom