Kamaka
JF-Expert Member
- Jun 7, 2010
- 563
- 33
Jamaa mmoja alifika kazini akiwa na bandeji kwenye masikio yote mawili,bosi akamuuliza ilikuwaje akajibu eti alikuwa anapasi simu ikaita badala ya kupokea simu akapokea pasi ya moto,bosi akamuuliza hapo sawa je sikio la pili imekuaje? Jamaa akajibu si alibidi nimpigie daktari nikatumia la pili!!