Jana ilikuwa ijumaa!! Ndio maanaWakuuu za asub. poleni na mishe mishe. Naomba kujuzwa nitajuaje kama simu ni original au fake? Nipeni maujuzi kabla sijaibiwa. Asanteni
Inasemekana hii ni kwa ajili ya simu za nokiabofya *#0000# baada ya hapo model ya simu inaonekana, isipoonekana manake ni mchina uyo
Wakuuu za asub. poleni na mishe mishe. Naomba kujuzwa nitajuaje kama simu ni original au fake? Nipeni maujuzi kabla sijaibiwa. Asanteni
inasemekana hii ni kwa ajili ya simu za nokia
Sum sung galaxy s3 zinauzwa 130,000 tsh.zitakuwa feki mini!
Sum sung galaxy s3 zinauzwa 130,000 tsh.zitakuwa feki mini!
Wakuuu za asub. poleni na mishe mishe. Naomba kujuzwa nitajuaje kama simu ni original au fake? Nipeni maujuzi kabla sijaibiwa. Asanteni
Ni zaidi ya fake, Samsung original uipate kwa 130,0000/= !!!!