Hamna!Mkuu ulijaribu kuiroot??
Yako ilikuwa so tatizo kubwa ni ndogo ila ogopa simu inayoximikia kwenye chargerSuluhisho LA hiyo simuvni kuifrash tu.hata Mimi nilikuwa ninamiliki tekno y4 kuna siku nilibadilisha memory card kuja kuiwasha ikaganda.nikajalibu kui reboot ikagoma nikaipeleka kwenye compyuta na wakaifrash.
Hata hivyo sikukaa mayo sana.wajanja waliniibiaYako ilikuwa so tatizo kubwa ni ndogo ila ogopa simu inayoximikia kwenye charger
Hata hivyo sikukaa mayo sana.wajanja waliniibiaYako ilikuwa so tatizo kubwa ni ndogo ila ogopa simu inayoximikia kwenye charger
Nenda kwa mafundi wenye uzoefu watairekebisha tu wala gharama haizidi 10,000/= kuna Tecno P5 ilikuwa hivohivo nilipeleka kwa fundi sasa hivi iko poa.Wana jf Naomba Msaada kuna simu Tecno H5
Nikiiwasha inaleta maandishi ya Tecno haindelei cjajua tatizo ninini!
Simu haina memory Naomba Msaada wenu wajuzi WA mambo hayo
Natanguliza shukrani
Pole sana aseHata hivyo sikukaa mayo sana.wajanja waliniibia
Kwenye hali hiyo huwezi ku root hiyo ni ya ku flash 'Rooting does not solve that problem'Mkuu ulijaribu kuiroot??