Nipo kwenye daladala hapa dodoma. Gari inapiga mziki mzuri ila kuna jamaa yupo smart katika mavazi ila cha kushangaza kafungulia mziki kwenye simu yake kwa sauti kubwa. Nini maana yake hii kitu au ni ushamba
Si bora hata ingekua smartphone. Bonge la mchina na speaker inayokorama utazani Ina mafua
Ndugu, hujatenda haki. Nani anajua, lbda ni kabila jingine?Li gogo hilo na ushamba wake tu!
Nipo kwenye daladala hapa Dodoma. Gari inapiga mziki mzuri ila kuna jamaa yupo smart katika mavazi ila cha kushangaza kafungulia mziki kwenye simu yake kwa sauti kubwa. Nini maana yake hii kitu au ni ushamba?
Nawajua tabia zao hawa watu. Huyu wa leo katokea Kikuyusasa mtajuaje kama ana kitu adimu toka ugogoni ? hao ndo wazee wa idodomya tena pande za chako ni chako au nzuguni.na kama huamini nenda kapige misele kidogo walau dk 5 pale nyerere square utawaona wengi xana.
Mwache ajinafasi. Kwani huo mziki wa kwenye gari ni lazima na yeye aupende? Mziki wa kwenye gari uzimwe ili msikilize wa kwake.
Nawajua tabia zao hawa watu. Huyu wa leo katokea Kikuyu
tena usiombe waeke nyimbo za magamba (za komba) wakti wa kampeni , yaani ndo hadi kichwa kitakuuma au unaweza hairisha safari au kukata tiketi kwa basi lingine, lakini wewe msamehe bure kwani hayo ndo mavuno yao waliowengi baada ya kupata mafao ya uomba omba maeneo ya jamatini au crdb . bony voyage abandugu
Kwenye gari zinapigwa hizi nyimbo za waislamu kama sijakosea zinaitwa Kaswida na yeye kafungulia nyimbo ya kuabudu
ooh ok basi kumbe kuna sababu ya msingi, huyo jamaa sio mwehu wala limbukeni kama alivyoshambulia, alitaka kuonyesha yeye sio wa dini hiyo na hana interest ya kusikiliza, ndio maana akaona kuliko amwambie abadilishe bora aanzishe naye ya ladha yake, ukweli ni kwamba kwenye vyombo vya usafiri na kwenye mkusanyiko sio ustaarabu kuweka nyimbo tena za dini za dini fulani. kifupi inakera kumlazimisha mtu asie dini fulan kusikiliza nyimbo za dini ingine.