Simu imeshinda kutwa kwenye maji halafu unakuja kujaza nafasi humu Jf kuuliza ujinga .hivi wewe mzima kweli ?
Habari za Usiku wadau wa jukwaa hili?
Na Tatizo moja kama kichwa cha thread kinavyojieleza. Nimedondosha simu yangu kwenye maji Nokia C1. nimeifungua na kusafisha maji yote ila sijaiwasha! Je Kuna uwezekano wa kupona kweli? maana ilishinda kwenye maji karibu kutwa nzima!
Simu imeshinda kutwa kwenye maji halafu unakuja kujaza nafasi humu Jf kuuliza ujinga .hivi wewe mzima kweli ?
Simu kwenye maji siku nzima halafu unauliza Kama itapona hiyo akili au matopeHujamtendea haki kabisa.Ki ungwana mtake radhi na bila shaka atakubali kukusamehe
maswali mengine ni kijinga simu siku nzima Ikae kwenye maji halafu unakuja kuuliza watu wakusaidie nini halafu simu yenyewe ya shilingi elfu20unejiita mzushi na kama hakuna cha kujibu kaakimya. Sikumlazimisha MTU atoe maoni. Unaedai najaza server we ndio mmiliki wa jf? acha ushamba wewe.
Imeshakufa hiyo unataka kujaribu niniAsante kaka Ngoja nijaribu
Simu kwenye maji siku nzima halafu unauliza Kama itapona hiyo akili au matope
We jamaa una stress sana inaonekana umekaa ki-shari Shari sana.Simu kwenye maji siku nzima halafu unauliza Kama itapona hiyo akili au matope
Inataikiwa simu ikipata maji au kimiminika chochote, kitu cha kwanza ni kuitoa kwenye hicho kimiminika halafu utoa BATTERY haraka iwezekanavyo. Hayo maelezo ya hiyo blog yana mapungufu.Click hii link ina maelezo ya kiswahili labda itakusaidia
Simu ikiingia kwenye maji au ikilowa fanya haya
Uongo..Mi yangu iliingia kwenye maji usiku saa 3.
Nikatoa betry nika ikung'uta kweli kweli.
Nikaweka nikawasha nikaona inaonyesha kioo rangi nyeupe na nyeusi kama imelaliwa.
Nikatoa betry nikaipeleka dukani nikaomba waniwekee kwenye Mchele.
Wakafanya hivyo asubuhi nikaifuata.
Nikaweka betry yangu.
Kuwasha nzimaa mpk leo ndo naitumia hapa.
ila spika ya nje ndo inashida inakoroma.