Simu kukata internet iwapo kwenye Call

Simu kukata internet iwapo kwenye Call

Watchtower

Member
Joined
Sep 18, 2022
Posts
93
Reaction score
182
Wakuu salama umu?

Kuna simu nilikuwa nayo ukipiga simu inakata mtandao mpaka umalize kuongea na mtu sasa nimebadili simu na natumia.

Voda ila nikipiga simu internet haikati isipokuwa ina lsusha kutoka LTE na kuwa H+ hiki ni nini wazee?
 
Sasa mkuu net ya nini wakati simu ipo sikioni unahisi unachelewa nini kwa 5mins za kuongea na simu? Hata kama una download kitu baada ya call inaresume ilipoishia.

Sioni tatizo hapo
Wakuu salama umu?

Kuna simu nilikuwa nayo ukipiga simu inakata mtandao mpaka umalize kuongea na mtu sasa nimebadili simu na natumia.

Voda ila nikipiga simu internet haikati isipokuwa ina lsusha kutoka LTE na kuwa H+ hiki ni nini wazee?
 
Main response ya simu ni call, call ndo inachukua uwezo mkubwa wa simu, so other applications lazima zihang. At the same time, ila wanaendelea kuziongezea uwezo matoleo yanayokuja, naamini yatakata kiu yako.
 
Sasa mkuu net ya nini wakati simu ipo sikioni unahisi unachelewa nini kwa 5mins za kuongea na simu? Hata kama una download kitu baada ya call inaresume ilipoishia.

Sioni tatizo hapo
Mkuu fikiria tena zaidi imagine upo kwenye Online meeting iwe zoom au Teams halafu ume hotspot na PC halafu simu inapigwa kitendo tu cha kuita kina disrupt Ile internet uliyo connect, Huoni ni usumbufu huo? Kwanini nisi pick call uku internet iendelee kuwepo?
 
Sasa mkuu net ya nini wakati simu ipo sikioni unahisi unachelewa nini kwa 5mins za kuongea na simu? Hata kama una download kitu baada ya call inaresume ilipoishia.

Sioni tatizo hapo
Kuna simu ingine unakuwa huna dhamira ya kuipokea mpaka ikate yenyewe pengine point yake ndo imesimamia hapo
 
Mkuu fikiria tena zaidi imagine upo kwenye Online meeting iwe zoom au Teams halafu ume hotspot na PC halafu simu inapigwa kitendo tu cha kuita kina disrupt Ile internet uliyo connect, Huoni ni usumbufu huo? Kwanini nisi pick call uku internet iendelee kuwepo?
Kwamba utakuwa kwenye meeting online halafu unaongea na simu nyingine
 
Wakuu salama umu?

Kuna simu nilikuwa nayo ukipiga simu inakata mtandao mpaka umalize kuongea na mtu sasa nimebadili simu na natumia.

Voda ila nikipiga simu internet haikati isipokuwa ina lsusha kutoka LTE na kuwa H+ hiki ni nini wazee?
Pole

Kwa lugha nyepesi

Kwenye simu zetu na simcard zetu sahivi nyingi zina 2G, 3G, 4G na chache sana zina 5G

Sasa huduma ya Voice (Hii ya kupiga na kupokea simu kwa sauti inatumia 2G kwa site nyingi na 3G pia ila nyingi sauti/ Voice ipo kwemye 2G)


Ilivokuja 3G ilivokuja ilikuja ina Voice na Data(Internet)

Ilivokuja 4G hii ilikua ni kwa data only(internet) kwa jinsi ilivowekwa hapa kwetu ila haisapoti Voice ndio maana ukiweka simu yako 4G au LTE only ukipokea simu itakata internet irudi kuhudumia voice call yako ambayo inatumia 2G

Simu ikiwa internet yake umesate 3G ambayo ndio inaonekana H au H+ utaweza kupokea simu Na kuendelea kubrowse internet kwasababu 3G inahuduma zote za voice na data.

Kama hujaelewa uliza swali.
 
Pole

Kwa lugha nyepesi

Kwenye simu zetu na simcard zetu sahivi nyingi zina 2G, 3G, 4G na chache sana zina 5G

Sasa huduma ya Voice (Hii ya kupiga na kupokea simu kwa sauti inatumia 2G kwa site nyingi na 3G pia ila nyingi sauti/ Voice ipo kwemye 2G)


Ilivokuja 3G ilivokuja ilikuja ina Voice na Data(Internet)

Ilivokuja 4G hii ilikua ni kwa data only(internet) kwa jinsi ilivowekwa hapa kwetu ila haisapoti Voice ndio maana ukiweka simu yako 4G au LTE only ukipokea simu itakata internet irudi kuhudumia voice call yako ambayo inatumia 2G

Simu ikiwa internet yake umesate 3G ambayo ndio inaonekana H au H+ utaweza kupokea simu Na kuendelea kubrowse internet kwasababu 3G inahuduma zote za voice na data.

Kama hujaelewa uliza swali.
Thread closed
 
Pole

Kwa lugha nyepesi

Kwenye simu zetu na simcard zetu sahivi nyingi zina 2G, 3G, 4G na chache sana zina 5G

Sasa huduma ya Voice (Hii ya kupiga na kupokea simu kwa sauti inatumia 2G kwa site nyingi na 3G pia ila nyingi sauti/ Voice ipo kwemye 2G)


Ilivokuja 3G ilivokuja ilikuja ina Voice na Data(Internet)

Ilivokuja 4G hii ilikua ni kwa data only(internet) kwa jinsi ilivowekwa hapa kwetu ila haisapoti Voice ndio maana ukiweka simu yako 4G au LTE only ukipokea simu itakata internet irudi kuhudumia voice call yako ambayo inatumia 2G

Simu ikiwa internet yake umesate 3G ambayo ndio inaonekana H au H+ utaweza kupokea simu Na kuendelea kubrowse internet kwasababu 3G inahuduma zote za voice na data.

Kama hujaelewa uliza swali.
Nimekuelewa mkuu
 
Nenda mobile network then advanced setting,itakuletea hivyo kazi ni kwako
Screenshot_2023-07-13-08-45-10-14_426a5588c5110cd01d5af17e47adb223.jpg
 
N

NEtwork wewe ya nini wakati unaongea na simu😂 mawazo mengine ya kujitakia tu
Tabia kama hii, ilifanya iue kabisa jukwaa la Tech. Kuna thread zingine kama hujui majibu yake unakaa kimya. Unawaacha watu wanaojua
 
Unaweza ukawa nayo na bado mtandao husika wakawa hawana hiyo huduma ya Voice Over LTE (VoLTE). Mfano kibongo bongo hapa ni tiGO na VODA pekee nadhani ndo wana huduma ya VoLTE, sina hakika kama wengine wamesha switch huko...

Mm natumia Voda najua wanayo japo sio maeneo yote. Nikiwa dar hata nikipiga simu Bado inakua kwenye LTE.
Kama mdau anatumia mtandao tofauti na Voda au Tigo Huyo hajui hata kwanin anatumia simu au kazi yake ni instagram tuu
 
4G (LTE) doesn’t support voice calls, it is only a data transfer system. Your phone has to swap to a 2G or 3G cell to make a voice call.

huduma ya Voice over LTE ipo for years now ina Tanzania. kuna baadhi ya simu hazisupport. Carrier kama Voda na tigo Kitambo sana. pia itategemea na location
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom