Watchtower
Member
- Sep 18, 2022
- 93
- 182
Wakuu salama umu?
Kuna simu nilikuwa nayo ukipiga simu inakata mtandao mpaka umalize kuongea na mtu sasa nimebadili simu na natumia.
Voda ila nikipiga simu internet haikati isipokuwa ina lsusha kutoka LTE na kuwa H+ hiki ni nini wazee?
Kuna simu nilikuwa nayo ukipiga simu inakata mtandao mpaka umalize kuongea na mtu sasa nimebadili simu na natumia.
Voda ila nikipiga simu internet haikati isipokuwa ina lsusha kutoka LTE na kuwa H+ hiki ni nini wazee?


