Baraker_88
Member
- Nov 7, 2021
- 35
- 88
Tshs ngp hii MkuuChukua Samsung Galaxy A12 Nacho
Ngoja nizichek mkuuMotorola smartphones ziko sawa mkuu
Mpya Utaipata Ndani Ya Bei UliyoitajaTshs ngp hii Mkuu
NakaziaIngependeza ukapita madukani kujua bei na ubora wake
Nenda Kwenye Hili Duka Kama Upo Dar Es Salaam 0746490000Habari wadau, nataka kumnunulia mtu simu janja, mwenye uzoefu wa simu janja nzuri kuanzia uwezo mzuri wa camera, ukubw RAM/ROM, na kukaa na chaji naomba anishauri simu ipi naweza kununua!
Isiwe Tecno/Infinix
Budget yangu about Tshs 500,000/=
Naomba kuwasilisha