1. Chukua Pixel Pro kuanzia 7 pro kwenda mbele, balaa la Google Pixel kwenye Camera sio dogo kabisa.
2. Chukua Samsung S23 Ultra.
Samsung hata kwenye kiza bado wanakutolea picha moja kali sana sababu Camera zake zina Laser, Pixel ana laser kwenye baadhi ya simu zake, kwenye kiza ile laser inafocus kwenye object, inatoa picha moja ya moto sana. Hii laser Iphone hawana kabisa.
3. Iphone 13 pro Max.
Iphone huwa anakoleza rangi kwenye picha na video ndo maana wadada wanazipenda pamoja na brand.
Overall, matoleo ya Google ukisikia Pro, hasa kuaniza 6 hadi 10 OGOPA SANA ENEO LA CAMERA, Samsung ukisikia S23 sijui S24 Ultra, HUO NI MOTO MWINGINE kabisa upande wa Camera.
Iphone hafui dafu mbele ya jamaa hao wawili.