Nawezaje kupata hii simu?
Even technology.
-camera zao ni hasselblad certified google hilo neno uone how expensive zilivyo hizo camera na quality pia.
-personal assistant sio siri wala cortana bali ni mtu wa kweli
-hizi simu ni ticket ya kuingia kwenye party au makutano ya mabilionea
Nk
Zimeingia soko la Tanzania?
Mkuu nime Google nimeona wanatumia os ya Android, ina maana ni Android hii tunayoitumia wote?Even technology.
-camera zao ni hasselblad certified google hilo neno uone how expensive zilivyo hizo camera na quality pia.
-personal assistant sio siri wala cortana bali ni mtu wa kweli
-hizi simu ni ticket ya kuingia kwenye party au makutano ya mabilionea
Nk
Nawezaje kupata hii simu?
mkuu magufuri humuogopi????
Mkuu nime Google nimeona wanatumia os ya Android, ina maana ni Android hii tunayoitumia wote?
Ina maana bei zao zipo kwenye Housing tu sio kwenye os?
Zimeingia soko la Tanzania?