Simu gani nzuri kwa milioni moja

Simu gani nzuri kwa milioni moja

Bila shaka ata ww n jipu, million ukanunue simu? Kasaidie ununuz wa uniform za watoto wasiojiweza , faida kubwa itapatikana,
 
Habai zenu wakuu..

naombeni ushauri napata simu gani nzuri nikiwa na Milioni moja.

sifa:
UTUNZAJI WA CHAJI
CAMERA NZUUUUUUURI SANA
BRAND NEW(SIO USED)

Nakushauri ununue iphone hutajuta, hizo android waachie michepuko na walimu!!
 
chief habari embu nambie samsung s 5 dous made in china by samsung lte product ya uk na samsung s5 ya lte ya uk made in vetinam hipi nzuri kwa matumizi na uimara
usiangalie imetengenezwa wapi angalia ndani ina nini, kama unaweza kuzipata mkononi eka cpu z simu zote mbili halafu angalia internal zake hasa soc.

kama huwezi kuzipata mkononi basi atleast hata uzijue model zake. kuna simu 41 tofauti zote zinaitwa galaxy s5

zicheki hapa
41 Galaxy S5 models - Dummies Guide

ukizijua model zake tutazifanyia comparison
 
Back
Top Bottom