Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,068
- 43,510
Pia kuna Lenovo vibe P1 nayo ni nzuri japo bei yake haifiki million.View attachment 311012
not bad ninecheki testing zake ipo vizuri.
ila tatizo ya hizi simu zenye battery kubwa ni charging time hasa kama umepoteza charger original unaweza charge hata masaa 3 haijajaa.
pia specs zake zinakuwa kama hio galaxy j7 hapo juu. still meizu 5 pro ni kali zaidi na note 4 inafuatia.
ila kama anajali zaidi battery kuliko perfomance sio simu mbaya, hio sd 615 ni soc nzuri kiasi chake.