Simu gani nzuri kwa milioni moja

Simu gani nzuri kwa milioni moja

hizi hapa simu nzuri zinazokaa na chaji na kioo kuanzia inch 5.5

1. galaxy A8
2. meizu pro 5
3. lenovo zuk Z1
4. galaxy j7
5. galaxy note 4

kati ya hizo 5 hio meizu 5 pro ndio kali kuliko zote lakini upatikanaji wake ni mgumu, pia ukumbuke ni meizu 5 pro na sio meizu 5.

galaxy note 4 ni simu nzuri overall inayopatikana kirahisi.

kwa line mbili kama unataka galaxy A8 duos ni nzuri

Mkuu hiyo Meizu 5 pro inapatikana duka gani kwa DSM?
 
Wew fungua kibanda cha kukaanga chips baada ya mwaka 1 utakua na faida Mara tatu
 
Nunua simu ya laki mbili na hizo hela zingine wekeza mahali fulani baada ya muda utakua na faida nyingi hata mbuyu ulianza kama mchicha usije nunua simu milioni alafu unaishi nyumba za kupanga ama kwa wazazi utakua unamatatizo mkuu (ni ushauri wangu tu kwa vijana wenzangu) (/colour)=red(color)home alone

kwani amekuambia ana matatizo ya pesa.change your mentality.money is what money does!
 
Simu ninunue milioni kwa nini?
Niko na Techno C8 nina enjoy
Na si zaidi ya 300000.
Mimi nafikiri nunua simu ya bei rahisi zilizobaki saidia hata ndugu zako.
TECNO C8 HUTAJUTA.

unamaansha hizi simu za bei kubwa hazikutengenezwa kwaajiri ya watanzania.?

ndugu nimeshawasaidi na hii imebaki,niitupe.?
 
Nunua simu ya laki mbili na hizo hela zingine wekeza mahali fulani baada ya muda utakua na faida nyingi hata mbuyu ulianza kama mchicha usije nunua simu milioni alafu unaishi nyumba za kupanga ama kwa wazazi utakua unamatatizo mkuu (ni ushauri wangu tu kwa vijana wenzangu) (/colour)=red(color)home alone

ningekuwa kichaa kama ningenunua simu ya milioni wakati benki nina laki 5..

nina uwezo wa kununua simu ya laki moja kwasababu nimepita huko unakonielekeza miaka mitano iliyopita..
 
nunua tecno h6 utabaki na chenchi ya 8.2 hiyo hela weka kwenye m pesa ingiza m pawa iache ikae huko baada ya siku 90 utakuwa umeshapata kitu cha kuifanyia wakati huo itakuwa mwezi wa Tatu 2016 hiyo cm ambayo ungenunua kwa 1m utakuta ni 650 dukani

ningekua sijui namna ya kufanya na ela nisingepata hyo milioni moja ya kunulia simu
 
huyu peponi hafiki kabisa,kule muhimbili kuna wagonjwa kibao wamekosa hela kunusuru maisha yao hiyo hela ya jamaa haina kazi ni bora akasaidia wenye shida ili mungu ambariki

Hata wewe hyo efu1 uliyonunua kifurushi ili kuja kuingilia maisha ya watu humu jamiiforums unaonaje ukaipeleka kwenye kituo cha watoto yatima.
 
Mkuu nipe mimi hiyo 1M baada ya mwezi mmoja ntakurudishia 1.92M
 
Nunua simu ya laki mbili na hizo hela zingine wekeza mahali fulani baada ya muda utakua na faida nyingi hata mbuyu ulianza kama mchicha usije nunua simu milioni alafu unaishi nyumba za kupanga ama kwa wazazi utakua unamatatizo mkuu (ni ushauri wangu tu kwa vijana wenzangu) (/colour)=red(color)home alone


Hahaha, anunue simu ya laki2 , halafu hiyo laki 8 inayobaki anunue genereta la Kingmax, .......
 
Wew fungua kibanda cha kukaanga chips baada ya mwaka 1 utakua na faida Mara tatu

Ushauri wako hauendani na mahitaji ya mtoa mada, yeye antaka simu sio biashara, soma kwanza kabla kujibu.
 
Back
Top Bottom