Simu gani nzuri kwa milioni moja

Simu gani nzuri kwa milioni moja

msafwa93

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
4,840
Reaction score
6,141
Habai zenu wakuu..

naombeni ushauri napata simu gani nzuri nikiwa na Milioni moja.

sifa:
UTUNZAJI WA CHAJI
CAMERA NZUUUUUUURI SANA
BRAND NEW(SIO USED)
 
kama unaweza kutumia simu zisizo na kioo kikubwa then xperia z3 compact inafit hayo mambo unayoyataka.

2643634-5658454661-gsmar.jpg


chaji utapata ya kutosha na camera pia nzuri.
 
kama unaweza kutumia simu zisizo na kioo kikubwa then xperia z3 compact inafit hayo mambo unayoyataka.

2643634-5658454661-gsmar.jpg


chaji utapata ya kutosha na camera pia nzuri.

haka kadogo sana mkuu...

atleast iwe 5.5
 
Habai zenu wakuu..

naombeni ushauri napata simu gani nzuri nikiwa na Milioni moja.

sifa:
UTUNZAJI WA CHAJI
CAMERA NZUUUUUUURI SANA
BRAND NEW(SIO USED)

P8 ni 5.2 I think ila bei siko sure kama ni mil1 au zaidi.. Ni nzuri pia
 
haka kadogo sana mkuu...

atleast iwe 5.5

hizi hapa simu nzuri zinazokaa na chaji na kioo kuanzia inch 5.5

1. galaxy A8
2. meizu pro 5
3. lenovo zuk Z1
4. galaxy j7
5. galaxy note 4

kati ya hizo 5 hio meizu 5 pro ndio kali kuliko zote lakini upatikanaji wake ni mgumu, pia ukumbuke ni meizu 5 pro na sio meizu 5.

galaxy note 4 ni simu nzuri overall inayopatikana kirahisi.

kwa line mbili kama unataka galaxy A8 duos ni nzuri
 
Habai zenu wakuu..

naombeni ushauri napata simu gani nzuri nikiwa na Milioni moja.

sifa:
UTUNZAJI WA CHAJI
CAMERA NZUUUUUUURI SANA
BRAND NEW(SIO USED)

Nunua simu ya laki mbili na hizo hela zingine wekeza mahali fulani baada ya muda utakua na faida nyingi hata mbuyu ulianza kama mchicha usije nunua simu milioni alafu unaishi nyumba za kupanga ama kwa wazazi utakua unamatatizo mkuu (ni ushauri wangu tu kwa vijana wenzangu) (/colour)=red(color)home alone
 
nunua tecno h6 utabaki na chenchi ya 8.2 hiyo hela weka kwenye m pesa ingiza m pawa iache ikae huko baada ya siku 90 utakuwa umeshapata kitu cha kuifanyia wakati huo itakuwa mwezi wa Tatu 2016 hiyo cm ambayo ungenunua kwa 1m utakuta ni 650 dukani
 
Asee Chief Mkwawa nimekusoma powa sana ninekuja na hizo short za meizu asee s mchezo ni bonge moja la kitu
 
hizi hapa simu nzuri zinazokaa na chaji na kioo kuanzia inch 5.5

1. galaxy A8
2. meizu pro 5
3. lenovo zuk Z1
4. galaxy j7
5. galaxy note 4

kati ya hizo 5 hio meizu 5 pro ndio kali kuliko zote lakini upatikanaji wake ni mgumu, pia ukumbuke ni meizu 5 pro na sio meizu 5.

galaxy note 4 ni simu nzuri overall inayopatikana kirahisi.

kwa line mbili kama unataka galaxy A8 duos ni nzuri

Aseee c mchezo hiyo meizu kaka ngoja nadrop sasa shorts ni balaaa
 
Asee hebu angalia hizo specs zen kachukue hii simu kaka
 

Attachments

  • 1450156555260.jpg
    1450156555260.jpg
    21.6 KB · Views: 805
  • 1450156574339.jpg
    1450156574339.jpg
    19.8 KB · Views: 760
  • 1450156587855.jpg
    1450156587855.jpg
    31.7 KB · Views: 736
  • 1450156616012.jpg
    1450156616012.jpg
    30.4 KB · Views: 716
  • 1450156639411.jpg
    1450156639411.jpg
    30.5 KB · Views: 658
  • 1450156664698.jpg
    1450156664698.jpg
    29.5 KB · Views: 669
  • 1450156698433.jpg
    1450156698433.jpg
    27.5 KB · Views: 682
meizu imetulia, ni shilingi ngapi na duka lipi
 
Nunua simu ya laki mbili na hizo hela zingine wekeza mahali fulani baada ya muda utakua na faida nyingi hata mbuyu ulianza kama mchicha usije nunua simu milioni alafu unaishi nyumba za kupanga ama kwa wazazi utakua unamatatizo mkuu (ni ushauri wangu tu kwa vijana wenzangu) (/colour)=red(color)home alone

huyu peponi hafiki kabisa,kule muhimbili kuna wagonjwa kibao wamekosa hela kunusuru maisha yao hiyo hela ya jamaa haina kazi ni bora akasaidia wenye shida ili mungu ambariki
 
huyu peponi hafiki kabisa,kule muhimbili kuna wagonjwa kibao wamekosa hela kunusuru maisha yao hiyo hela ya jamaa haina kazi ni bora akasaidia wenye shida ili mungu ambariki


hahahaahahahahahahahahahahahahahaha.....
 
hizi hapa simu nzuri zinazokaa na chaji na kioo kuanzia inch 5.5

1. galaxy A8
2. meizu pro 5
3. lenovo zuk Z1
4. galaxy j7
5. galaxy note 4

kati ya hizo 5 hio meizu 5 pro ndio kali kuliko zote lakini upatikanaji wake ni mgumu, pia ukumbuke ni meizu 5 pro na sio meizu 5.

galaxy note 4 ni simu nzuri overall inayopatikana kirahisi.

kwa line mbili kama unataka galaxy A8 duos ni nzuri
Pia kuna Lenovo vibe P1 nayo ni nzuri japo bei yake haifiki million. uploadfromtaptalk1450173885840.jpg
 
Back
Top Bottom