20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,760
Habari wakuu, nataka badilisha simu kwa sasa. Nataka simu Android, yenye camera kali, ram ya kubwa nzuri na storage ya kutosha. Simu gani yanifaaaaa?
Isiwe tecno, huawei au infix. Ushauri. Wazee
Mrejesho , nimepita kwa wakala flan nikashawishika kununua OPPO, RAM GB8, STORAGE 128GB, Camera ipo safi.
Nilitafuta Oneplus, pixels sikuweza kuzipata
Isiwe tecno, huawei au infix. Ushauri. Wazee
Mrejesho , nimepita kwa wakala flan nikashawishika kununua OPPO, RAM GB8, STORAGE 128GB, Camera ipo safi.
Nilitafuta Oneplus, pixels sikuweza kuzipata