AgentX
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 1,651
- 1,700
Hapo zamani, kidogo kabla ya ulimwengu wa "simu janja". Haujaja hapa bongo. Tulikuwa na simu zetu na tulizipenda sana. Mimi nilikuwa na simu mwishoni mwa miaka ya 2005. Nilianza kujua mini maana ya "internet".
Basi nilikuwa addicted sana na symbian tofauti tofauti kama Nokia N95..E22, 6030b pia vile vile nilitumia Motorola L6 Na L7 nilipenda sana umbile lake pamoja na uniqueness.. Kwa kipindi kile. Ila mwishoni mwa miaka ya 2011 nikaanza kujua Smartphone. Ilikuwa ni HTC hero ilikuwa ni cupkake (1.5 android version) mpaka Leo nipo na 4.4.4kitkat.
EMBU SEMA NA WEWE SIMU ULIZOZITUMIA ENZI HIZO PAMOJA NA FEATURES ZAKE ULIZOKUWA UKIZIPENDA.
Basi nilikuwa addicted sana na symbian tofauti tofauti kama Nokia N95..E22, 6030b pia vile vile nilitumia Motorola L6 Na L7 nilipenda sana umbile lake pamoja na uniqueness.. Kwa kipindi kile. Ila mwishoni mwa miaka ya 2011 nikaanza kujua Smartphone. Ilikuwa ni HTC hero ilikuwa ni cupkake (1.5 android version) mpaka Leo nipo na 4.4.4kitkat.
EMBU SEMA NA WEWE SIMU ULIZOZITUMIA ENZI HIZO PAMOJA NA FEATURES ZAKE ULIZOKUWA UKIZIPENDA.