Simu ambazo ni refurbished

commm

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2019
Posts
1,710
Reaction score
1,963
Wakuu wa mambo ya technology

Hebu naomba mnisaidie kutofautisha kati ya simu ambazo ni refurbished na zile ambazo sio refurbished?

=====

The term ‘refurbished phone’ generally refers to a pre-owned handset that has been sent back due to a fault and has been repaired for re-sale.

Not all phones described as refurbished were at one stage faulty, though. Some networks and retailers classify 'refurbished phones' as handsets that were returned by customers who changed their mind within the 30-day cooling-off period after they signed up for a contract.

Before being put on sale, all refurbished phones have been thoroughly checked and tested to ensure they’re in full working order.
 
80% ya simu zote za samsung na iphone zinazouzwa apa tanzania ni refubrished na hii inakokana na kwamba simu ambazo ni brand new kabisa uwa ni bei kali mno kulingana na izi za refubrished ivyo kama unataji simu mpyaa kabisa usiwe na pesa ya kubabaisha ofisa
 
Kwa maana hiyo hiyo ,simu refurbished zote ni mtumba sio?
 
Kwanini mkuu...?
 
Kwa maana hiyo hiyo ,simu refurbished zote ni mtumba sio?
Kuwa refurbished sio kuwa mtumba,simu inaweza kuwa mpya kabisa,baada tu ya kuanza kuitumia unaweza kukuta ina manufacturing defect,na kwa kuwa huwa zinakuwa ndani ya warrant zinarudishwa kwa muuzaji,inarekebishwa then inauzwa tena,kwahiyo sio mtumba ambao unakuwa umeshatumika kwa mtu mwingine,hapa usichanganye na used phone na ndio maana tofauti yake na mpya huwa inakuwa ndogo sana...
 
Kwa maana hiyo hiyo ,simu refurbished zote ni mtumba sio?

Refurbished yan zilizofanyiwa malekebisho bei uwa ni poa na kawaida kumbuka simu izi ndio simu nyingi kuliko apa tanzania na sio apa tu nchi kalibia zote kwa mfano mtu anayeitaji kununua simu za iphone za mwaka majuzi kushuka chini asilimia 90% uwa ni Refubrished kwa kua apple wakitoa toleo jipya la simu wanasitisha kuzalisha toleo lililopita baada ya muda
 
Kwanini mkuu...?

Sababu kubwa uwa ni bei uwa ni poa na kawaida kumbuka simu izi ndio simu nyingi kuliko apa tanzania na sio apa tu nchi kalibia zote kwa mfano mtu anayeitaji kununua simu za iphone za mwaka majuzi kushuka chini asilimia 90% uwa ni Refubrished kwa kua apple wakitoa toleo jipya la simu wanasitisha kuzalisha toleo lililopita baada ya muda

Na ukitaka kujua tofauti ya bei nayosemea apa nenda apple store mlimani city ulizia iphone x alafu njoo makumbusho ulizia iphone x alafu wote mkishanunua kuna kua hakuna utofauti maana wote mnakua mnatumia iphone x 🤣🤣 sasa akili kichwani mwako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Na je iPhone na Samsung huwa kuna matoleo yao ambayo huwa yanatolewa copy
 
Kwanza sio kweli kwamba asilimia kubwa ya simu mpya ni refurbished.

Simu ambayo ni refurbished ni ile ambayo ilikuwa used na ikarudishwa warranty center/service center kwaajili ya kuongeza pesa na kupata toleo lipya au kuiuza kwa bei ndogo ili kufidia gharama.

simu au kifaa kinachokuja na manufacturer defect na kurudishwa kiwandani hicho sio refurbished kwani aidha wanaweza kutumia parts zake kwaajili ya simu/kitu nyingine au wanaweza kuirudisha kwenye mchakato mzima wa reproduction kama simu singine mpya , au wanaweza kuiteketeza (Destroy) kulinda brand yao.

'Refurbished phones': what does it mean? The term 'refurbished phone' generally refers to a pre-owned handset that has been sent back due to a fault and has been repaired for re-sale. ... Before being put on sale, all refurbished phones have been thoroughly checked and tested to ensure they're in full working order.
 
Kwa maana hiyo hiyo ,simu refurbished zote ni mtumba sio?
Mkuu umeshaelezewa maana ya Refurbished, kuongezea kuna
-manufacture refurbished ambayo mtengeneza simu mwenyewe kama Apple ama Samsung ndio anaitengeneza na kuiuza tena
-Seller refurbished ama zifananiazo, hii ni muuzaji tu anafanya marekebisho na kuiuza tena.

Refurbished za kibongo bongo ni pasua kichwa na zina matatizo sugu, nyingi zina over heat, zimetolewa lock za mitandao, hazina support ya manufacture, hazikutengenezwa kwa ajili ya mazingira ya kitanzania etc. Ni vyema kuziepuka kama huna uelewa nazo.
 
Nikupe njia rahisi.

Ukinunua samsung S series na Note series
Kuanzia S4 na note 3 hizo zote lazima ziwe Reffub. Unless umenunua kwa Dealer au muuzaji anaeaminika.

Usipagawe na warrant na mbwembwe za wauzaji wajanja

Ukinunua Iphone, Hizi zote kwa Nchi yetu ni Refub. Hata ukiagiza China kuna 90% ya kupata Refub.

Kama Unataka Genuine nenda Apple store. Na huko ukijichanganya kama kunawauzaji sio waaminifu wanaweza wakachukua Refub wakakuuzia kama Genuine.

Simply. Refub ni kama Kubet tuu. Unaweza pata Device nzuri au mbaya. Hapo ni 50/50

Au mnasemaje mods wa JF
 
Interesting
 
Sawa mkuu nimekupata
 

Simu refub inategemea unanunua wapi. Kama ukinunua kwenye mtandao wa Apple kuwa na hakika kuwa utapata simu bora sawa na mpya na haitakuwa na shida yoyote


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani sasa iPhone ya makumbusho na store mlimani city wapi kwenye sm zinazofaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itabidi mkuu nikulipe twende wote ukanisadie kwa maelezo yako naweza kuingia chaka Nina mpango wa kununua iPhone na samsung

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…