simshauri dada yeyote kutunza bikra hadi ndoa.

simshauri dada yeyote kutunza bikra hadi ndoa.

dunia ya sasa imebadilika sana, toka nikiwa mdogo mama yangu alikua akinifundisha na kunihusia nijitunze nisikubali kulala na mwanaume yeyote hadi yule ambae atanioa,kwani kwa kufanya hivyo,itanipa heshima na kwa mama yangu pia. mama yangu amekua akinipa shuhuda mbalimbali za maisha yake aliyopitia,yakwamba,hakuwah kutembea na mwanaume yeyote zaidi ya baba yangu,nahiyo ilimfanya baba yangu ampende na kumwamini zaidi,na mimi ni shuhuda wa hilo.
kutokana na hilo nilitaman niwe kama mama yangu.


mimi nipo tayari kukuchumbia, na nitavumilia kwa kipindi chote hicho mpk tuingine ndani ya ndoa. ni pm tuanze mawasiliano. note: uwe unamvuto tafadhali.:yield:
 
na niliweka nadhiri kwamba namimi nitajitunza hivyo kama yeye.kilichonifanya niandike uzi huu, nikwamba sasa ninaumri wa miaka27 , kila mchumba ninaempata anataka alale na mimi kwanza,na mimi nimeshajiwekea malengo yangu ctaruhusu hilo litokee,najuta kwanini nimejitunza
hadi umri huu,hakika sioni faida ya kuwa bikra.


njoo kwangu, hadi ndoa ndio tungonoane.nipigie +255784541***. au tafuta mapumamiyoga@tajiriwakinampanda.
 
Kuwa mlokole...Atakaekujia hataingia na sera za kugegedana kwanza. I say 27 halafu unataka kukata tamaa...mimi ningeona nimekula ngombe mzima umebakisha mkia na unakata tamaa
 
Binafsi nikikuta mwanamke kabeba bikra hadi miaka 18 namzaba makofi naishia zangu...nani ahangaike kutoa bikra za watu wazima tuambukizane zinaa??? Vijana wetu watajifunzia wapi??? hiyo ndio urithi pekee tuliowaachia vijana wetu kutusafishia njia ..ALA!!

Duh we kiboko kama ni mwanao nae vijana wamfanyizie tuu?
 
Jitunze tuu utampata mjanja atakugegeda kwa gharama ya kukuoa so take care.
 
Mi sijaona taabubya hiyo bikira. Unataka utuambie ungekuwa hauna bikira ungelala na kila anaekutongoza ama?
 
Hongera mwaya kwa kujitunza miaka yoooote hiyo, nawala usikate tamaa...... Mumeo yupo njiani yu'aja!!!!!!!!!

Halafu usitupotoshe wadogo zako...... Sawa!!!!????
 
na niliweka nadhiri kwamba namimi nitajitunza hivyo kama yeye.kilichonifanya niandike uzi huu, nikwamba sasa ninaumri wa miaka27 , kila mchumba ninaempata anataka alale na mimi kwanza,na mimi nimeshajiwekea malengo yangu ctaruhusu hilo litokee,najuta kwanini nimejitunza
hadi umri huu,hakika sioni faida ya kuwa bikra.
Aisee nadhani ndio Mungu kaniletea .
Nilikuwa natafuta mke ambaye ni bikira. Ngoja niku pm tuyajenge.
 
ila kama we hujabikiriwa hadi leo,ndo uwaambie wenzio hivyo!!!!!!!

kidume utampata tu soon,uonje raha ya dushelele
 
dunia ya sasa imebadilika sana, toka nikiwa mdogo mama yangu alikua akinifundisha na kunihusia nijitunze nisikubali kulala na mwanaume yeyote hadi yule ambae atanioa,kwani kwa kufanya hivyo,itanipa heshima na kwa mama yangu pia. mama yangu amekua akinipa shuhuda mbalimbali za maisha yake aliyopitia,yakwamba,hakuwah kutembea na mwanaume yeyote zaidi ya baba yangu,nahiyo ilimfanya baba yangu ampende na kumwamini zaidi,na mimi ni shuhuda wa hilo.
kutokana na hilo nilitaman niwe kama mama yangu.
Umeshawahi kujuliuza kuwa je kila msichana aliyetolewa bikra aliolewa na huyo mtoaji? au wasichana ambao hawajaolewa je wote wana bikra? Note Kugegedana hakuna uhusiano na kuolewa yaani ndoa unaweza gegedwa sana tu na ukaishia kuwa hivyo hivyo, so kama umeaamua kuanza kugawa gawa kwa sababu unapenda ila sio njia ya kuolewa kwa 100%
pia ujue zipo faida za kujitunza hasa kwa dunia hii ya leo, mara zote acha akili ifanye kazi yake usitumia kitu kingine mbabadala kufikiri utapotea
 
... 27 years.......!!!!!??? lazima una tatizo kubwa.
 
dunia ya sasa imebadilika sana, toka nikiwa mdogo mama yangu alikua akinifundisha na kunihusia nijitunze nisikubali kulala na mwanaume yeyote hadi yule ambae atanioa,kwani kwa kufanya hivyo,itanipa heshima na kwa mama yangu pia. mama yangu amekua akinipa shuhuda mbalimbali za maisha yake aliyopitia,yakwamba,hakuwah kutembea na mwanaume yeyote zaidi ya baba yangu,nahiyo ilimfanya baba yangu ampende na kumwamini zaidi,na mimi ni shuhuda wa hilo.
kutokana na hilo nilitaman niwe kama mama yangu.

kama sijakuelewa vile! wewe upo mlengo upi! wa mama yako au wa kuachia?
 
dunia ya sasa imebadilika sana, toka nikiwa mdogo mama yangu alikua akinifundisha na kunihusia nijitunze nisikubali kulala na mwanaume yeyote hadi yule ambae atanioa,kwani kwa kufanya hivyo,itanipa heshima na kwa mama yangu pia. mama yangu amekua akinipa shuhuda mbalimbali za maisha yake aliyopitia,yakwamba,hakuwah kutembea na mwanaume yeyote zaidi ya baba yangu,nahiyo ilimfanya baba yangu ampende na kumwamini zaidi,na mimi ni shuhuda wa hilo.
kutokana na hilo nilitaman niwe kama mama yangu.


Naona ukweli wa haya maneno ni 0% ........ cha kushangaza humuogopi MUngu kabisa kusema maneno kama haya tena wakati huu wa mfungo wa Ramadhani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom