yoelisahe
Member
- Jul 23, 2013
- 72
- 21
dunia ya sasa imebadilika sana, toka nikiwa mdogo mama yangu alikua akinifundisha na kunihusia nijitunze nisikubali kulala na mwanaume yeyote hadi yule ambae atanioa,kwani kwa kufanya hivyo,itanipa heshima na kwa mama yangu pia. mama yangu amekua akinipa shuhuda mbalimbali za maisha yake aliyopitia,yakwamba,hakuwah kutembea na mwanaume yeyote zaidi ya baba yangu,nahiyo ilimfanya baba yangu ampende na kumwamini zaidi,na mimi ni shuhuda wa hilo.
kutokana na hilo nilitaman niwe kama mama yangu.
kutokana na hilo nilitaman niwe kama mama yangu.