Simple raba bei nafuu

Simple raba bei nafuu

Ni special kutoka nje
Alafu we jamaa uwe unajaribu kuelewa swali kabla ya kujibu.

Nilikuuliza raba zimetengenezwa kwa material gani, dhamira yangu ni kujua ni za kitambaa au ngozi au pengine ni ile ngozi laini. Sasa majibu unasema hizi ni special

Sasa special ndio material gani?
Nafahamu sio mtumba maana yake ni special je zimetengenezwa kwa material gani (malighafi gani ilitumika kutengeneza hizo raba?).

Kama hujanielewa basi mkuu
 
Macho yangu yananiambia hapo chini umebakiwa na soski tuu...

Juu ya meza unauza raba... sijaelewa? Unauza kiatu ulichovaa au?


Cc: mahondaw
 
Nina shida na yule dada anayeuza mashuka kutoka Uganda plz.
 
Toa mawasiliano tufanye biashara mkuu
 
Back
Top Bottom