Simple raba bei nafuu

Simple raba bei nafuu

Mkuu hakuna za rangi tofauti na je kama mtu anataka piace 10 kwa mtaji wa kuanzia unaweza kumpa kwa bei hiyo hiyo, mwisho je mkoani unatuma mzigo
Mkoani natuma,ningependelea kuuza zaidi ya piece 20 ila kama unahitaji chini ya hapo ntafikiria kuhusu hilo waweza nicheki pm
 
Kwa hiyo mtu akilipia 100,000/= atapewa pairs 20 zote za aina hiyo hiyo??
Ndyo shark karb, tunaponunua huwa ziko jumla rangi moja,ukitaka mchanganyiko inabd ununue pack nyingine
 
Ninazo navaa ni mwezi wa saba navaa haioneshi hata dalili ya kupasuka,ni original
Si kweli usipotoshe hizo ni Ronya toka china k/koo hakuna mfanya biashara anaechukua mzigo original boss ili wapige superprofit pengine labda wewe ni mgeni wa ile k/koo alafu vans original ikiletwa bongo watakaoweza afford ni wachache na wenye uelewa tu na ndo maana wanaamua kuchukua hizo ronya toke china,hivo basi labda pengine haufahamu au umeamua kudanganya wateja wako kumbuka pia itakuwa unapoteza moja ya kitu muhimu credibility kwa mteja kuwa muwazi mteja achague kitu kulingana na pesa yake.Kila la kheri

Note😱riginal zipo ila bei ndefu kiasi chake na maduka yapo wanayouza ila tu wa Tz wengi ni wagumu kulipa pesa ndefu kwa bidhaa ndo maana zinaletwa hizi Ronya.
 
Back
Top Bottom