Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,502
- 1,959
Ukweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo kama taifa mtego ulipo. Hili taifa haitakuja liendee kama mfumo huu wa siasa hautobadilika. Kumbuka ili taifa liendelee tinahitaji siasa safi pia.
Anzia NCCR ya Mrema, CAF ya Maalim na Lipumba na sasa CHADEMA katika nyakati tofauti Serikali zinazo ongozwa na CCM zimetumia resource kubwa kuhakikisha opposition parties zinakufa. Resources zikitumika kudhofisha chama A chama B kinapata nguvu ukihamishia resources kuua chama B chama C kinaibuka kwani ni matakwa ya wenye inchi .
As a result miaka nenda rudi sehemu kubwa ya esources za inchi zitakua zinatumika kukandamiza na kuuwa upinzani utakaokuwa unaibuka kwa namna nyingine. Kwa kuwa hivyo Tanzania haitokuja ipige hatua kubwa kimaendeleo. Suruhisho either turudi mfumo wa chama kimoja au turuhusu democrasia ya kweli. Kubaki vuguvugu hivi ni hasara kubwa kwa taifa ingawa yaweza kuwa faida kwa CCM na familia zao.
Labda new York ya kolomije!Mwezi ujao Bashite atakuwa New York kuonana na Diaspora
Kakistocracy at work! Mwambie awe anaweka akiba ya maneno! Taharuki aliyoizusha kwa wageni ukumbini haikuwa ndogo na hawakuipuuza hasa ukizingatia ana ban ya kutoikanyaga US!Umeropoka wewe
Si majority ya watanzania wanaotaka kuturudisha mfumo wa chama kimoja, ni ka kikundi ka watu kama 15 tu hivi wenye mamlaka ndiyo wanataka hili yafanyike, wanachi wamechoka na mbaya zaidi hawana pa kusemea!!Ukweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo kama taifa mtego ulipo. Hili taifa haitakuja liendee kama mfumo huu wa siasa hautobadilika. Kumbuka ili taifa liendelee tinahitaji siasa safi pia.
Anzia NCCR ya Mrema, CAF ya Maalim na Lipumba na sasa CHADEMA katika nyakati tofauti Serikali zinazo ongozwa na CCM zimetumia resource kubwa kuhakikisha opposition parties zinakufa. Resources zikitumika kudhofisha chama A chama B kinapata nguvu ukihamishia resources kuua chama B chama C kinaibuka kwani ni matakwa ya wenye inchi .
As a result miaka nenda rudi sehemu kubwa ya esources za inchi zitakua zinatumika kukandamiza na kuuwa upinzani utakaokuwa unaibuka kwa namna nyingine. Kwa kuwa hivyo Tanzania haitokuja ipige hatua kubwa kimaendeleo. Suruhisho either turudi mfumo wa chama kimoja au turuhusu democrasia ya kweli. Kubaki vuguvugu hivi ni hasara kubwa kwa taifa ingawa yaweza kuwa faida kwa CCM na familia zao.
Alichokiongea kimekubalika na aliyemteuaKakistocracy at work! Mwambie awe anaweka akiba ya maneno! Taharuki aliyoizusha kwa wageni ukumbini haikuwa ndogo na hawakuipuuza hasa ukizingatia ana ban ya kutoikanyaga US!
New York ya TrumpLabda new York ya kolomije!
Kakistocratic family mnashangiliana na kuteteana!Alichokiongea kimekubalika na aliyemteua
Familia nyingi zipo hivyoKakistocratic family mnashangiliana na kuteteana!