Atomic orbital
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 375
- 485
Ni mwanamke mcha Mungu mcheshi ana akili ananiheshimu na kunipenda pia anawapenda sana ndugu zangu nimemuumiza kihisia Mara kadhaa lakini bado upendo wake kwangu unazid kuchanua.
Hana mwonekano mzuri na Mimi sina hisia nae lkn naona kama nikiamua kuanza nae maisha atakuwa mke bora na mama bora kwa watoto.
Naomba ushauri wenu waungwana.
Hana mwonekano mzuri na Mimi sina hisia nae lkn naona kama nikiamua kuanza nae maisha atakuwa mke bora na mama bora kwa watoto.
Naomba ushauri wenu waungwana.
