Similarities between Mahimbo's case and Lebron's father case!!!!!!!!!!!!!

Nyambala

JF-Expert Member
Oct 10, 2007
4,465
1,170
Wakuu niliwahi kuisoma hii story ya the self-proclaimed Lebron's father sometimes ago. Well baada ya kusikia hii habari ya case ya Mahimbo Vs (Josephine na Dr. Slaa)

Nimeona ni vema kushare the story and look on the similarities or else similar motives. All in all ni kwamba Mahimbo si mtu wa kwanza kuwasilisha mahakamani mashitaka ya kipuuzi na kienyeji....... Just read the story below!!!!!!!!!

Tujadili na kutafakari:


LeBron James and his mother Gloria James are being sued for millions by a man who claims he tried to prove he's the NBA star's biological father -- but LeBron and his mom tampered with the evidence in a diabolical cover-up.

The lawsuit is explosive -- in it, 55-year-old Leicester Bryce Stovell claims he met Gloria in a D.C. area bar in 1984 ... and had unprotected sex with her on the night they met. He later found out she was 15-years-old at the time ... he was 29.

According to the docs -- filed recently in federal court -- Gloria has spent the rest of her life shielding LeBron from the truth.


But the man making the claim isn't some schmuck -- dude is a Princeton graduate ... who earned a law degree from the University of Chicago ... and then became a Senior Legal Advisor for the U.S. Securities and Exchange Commission.

In his suit, Stovell claims he has a very clear recollection of the night he had "consensual sexual relations" with Gloria -- in fact, he even remembers apologizing for his sub-par performance.


Leicester claims Gloria went back to her hometown in Ohio after they hooked up -- but returned several months later to inform him she was pregnant with a boy named LeBron ... but she never specifically identified the father.

Leicester -- a self-proclaimed high school star athlete -- says he remembers telling Gloria, "Well, if he's mine, make sure he plays basketball." He claims that was the last time he saw Gloria for more than 20 years.

According to the docs, Leicester claims he reconnected with Gloria over the phone in 2007 -- when he began to think he could be LeBron's father ... partly because they look almost identical. Leicester also notes that when he saw LeBron at an NBA game he was, "struck by our similarity in appearance ... James and I are nearly if not identical height and pigmentation and have very similar athletic body types."



Leicester claims during the 2007 phone call -- Gloria denied ever meeting him -- threatened to have him physically harmed -- and told him, "LeBron's money is for his children."

A few days after the phone call, Leicester claims LeBron -- through his lawyer -- agreed to take a DNA paternity test.

Leicester claims he was given results that showed he was not LeBron's dad ... but several months later, he began to suspect that the results were tampered with ... and Gloria and LeBron were behind the fraud.

So why would LeBron participate in such a cover-up? Leicester claims it's all, "due to anger at perceived abandonment and conflict arising from his image as a successful fatherless child from the projects."

He also claims that Gloria had "fabricated" a story about LeBron's real father for the "one dimensional commercial image-making purpose ... to make [LeBron's] life suggestive of Spike Lee's popular 1998 sports drama film, 'He Got Game.'"

Leicester is now seeking $4 million from both LeBron and his mother -- claiming fraud, defamation and misrepresentation.

And check this out -- Leicester also points out that LeBron named his 2nd son "Bryce" -- and claims it's no coincidence. As we said, Leicester's middle name is Bryce.

LeBron's reps could not be reached for comment.


Source: TMZ

 
Comments za Wadau from the source!

1. money is the root of all evil
Posted at 4:08 PM on Jul 7, 2010 by Just Sayin


2. GROSS! He is willing to admit he was almost 40 and raped a 15 year old just so he can have a chance at some money?What a sicko!
Posted at 4:12 PM on Jul 7, 2010 by S


3. Oh whoops, 29 not 39, my booboo :( Still pretty gross! :pPosted at 4:15 PM on Jul 7, 2010 by S


4. They look nothing alike...........NOTHINGPosted at 4:15 PM on Jul 7, 2010 by Voted 4 Obama and Completed my Census


5. They don't look alike, other than the color and hair.Posted at 4:18 PM on Jul 7, 2010 by Trish


6. Sometimes the best thing to do is to keep your mouth shut and take it with you to the grave. (Huu ungekuwa ushaurik bora kwa Mahimbo)Posted at 4:18 PM on Jul 7, 2010 by ROBERTO


7. What if he is Lebron's dad? Why would he sue for $4Mill, an arbitrary amount. All this is going to do is cause a bunch of attorneys to get rich over a frivolous suit. Because Lebron can choose not to have a father if he wants.Posted at 4:19 PM on Jul 7, 2010 by SallyChi


8. So he is not only after the money, but he's a rapist as well? Sounds like he would have made an excellent father. And FYI TMZ, just because he got an education doesn't mean he is vaccinated against being a schmuck. I would say that because he banged a 15 year old girl, he has pretty much reached past schmuck status. What a complete loser.
Posted at 4:22 PM on Jul 7, 2010 by ragincajun79


9. I have no idea whether or not this guy is actually Lebron's dad, but his lawsuit is bull****. Considering he is a UC grad, he should be smarter than this. This baseless lawsuit is probably just to write a book. I can't imagine any form of fraud, defamation, or misrepresentation that caused him any harm. I bet he is broke as hell.Posted at 4:22 PM on Jul 7, 2010 by MSC


10. If all this is true, then he's a pathetic excuse for a father. If LeBron wants nothing to do with him, then he should go away. What does he want? Money, or fame.Posted at 4:23 PM on Jul 7, 2010 by Pistol


11. good luck getting money from a child you never supported. Where were you when his mother was hustling to keep food on the table! Sick perv sleeping with a kid, a 15 year old LOOKS like a 15 year old. Even if he's Lebron's dad, and I doubt it, he won't see a penny!Posted at 4:23 PM on Jul 7, 2010 by boohoo


12. Seriously?! Did he graduate at the bottom of his Princeton law class, cause I am pretty sure that having sex with a 15 year old child is against the law, no?
Posted at 4:23 PM on Jul 7, 2010 by Hiltzie


13. I hope you're happy, TMZ! NOW I'M BLIND!Posted at 4:23 PM on Jul 7, 2010 by camaguey


14. Why is he suing his son? The father owes his Mom child support, not the other way around! He does not look like his son at all. good luck buster!Posted at 4:24 PM on Jul 7, 2010 by dee


15. shuldnt he be getting sued for having sex with a minor?
 
1. Huyu Leicester amesubiri mpaka Lebron amekuwa maarufu na pia ana hela ndiyo anjitokeza na madai yake ya kipuuzi. The same with Mahimbo, sidhani kama Josephine angekuwa na boifrendi konda wa daladala kama engefungua kesi hii....
 
wadau kuhusu huyu jamaa na mjua sana nadhani hadi anaoa alikuwa anakaa kwa sister yake mitaa ya afrikasaana, kuna ndugu yake yupo mdau kidogo bandari akamvuta kazini na hadi sasa familia yake ni furaha tupu maana CCM washampa prado na hela kidogo endapo atasimama nao wamempromise mengi nitawajulisho full information,hadi sasa kumuona ni nadra sana yupo busy na usalama wa taifa na vigogo wa CMM.
 
wadau kuhusu huyu jamaa na mjua sana nadhani hadi anaoa alikuwa anakaa kwa sister yake mitaa ya afrikasaana, kuna ndugu yake yupo mdau kidogo bandari akamvuta kazini na hadi sasa familia yake ni furaha tupu maana CCM washampa prado na hela kidogo endapo atasimama nao wamempromise mengi nitawajulisho full information,hadi sasa kumuona ni nadra sana yupo busy na usalama wa taifa na vigogo wa CMM.

Nakubaliana nawewe mkuu huyu jamaa baada ya kuoa alihamia kwenye nyumba ya wakwe zake mbezi ya kimara kama sijakose. Ila jamaa ni chapombe kufa mtu kutwa alikuwa anashinda afrikasana bar ama connerbar hadi alipopatiwa kazi bandarini, namwonea huruma maana amejizalilisha kupita maelezo
 
Anajiadhiri bure.... mambo yake yoote yataanikwa hadharani kwa nini ndoa ilipata mgogoro....
 
Huyu jamaa akienda Kizimbani, atalia machozi kwa aibu.

Watamchambua hadi akumbuke maneno ya jamaa aliyesema "unafunga bakuli lako na kwenda na siri yote kaburini".

Ila je, mtu kama huyu huyu, Chogo lake lina Haya?
 
Huyu jamaa akienda Kizimbani, atalia machozi kwa aibu.

Watamchambua hadi akumbuke maneno ya jamaa aliyesema "unafunga bakuli lako na kwenda na siri yote kaburini".

Ila je, mtu kama huyu huyu, Chogo lake lina Haya?

Yea anasahau kitu kimoja muhimu kwamba umaarufu wa hii kesi ni strictly about 45 days yaani jana mpaka tarehe 30 Oct.,
 
hazifanani hata kidogo

Ya lebron ni mzee anataka kuokoda deci zake ingawa na yeye mchemfu
ya mahimbo ... hakuna cha lesi wala nini, ni kaamua kutumika tu na mafisadi
 
hazifanani hata kidogo

Ya lebron ni mzee anataka kuokoda deci zake ingawa na yeye mchemfu
ya mahimbo ... hakuna cha lesi wala nini, ni kaamua kutumika tu na mafisadi

Mkuu Acid hapo kwa Lebron una amini kuna kesi?
 
Hiin kesi ya Mahimbo haina kichwa wala miguu, mafisadi wanamtumia katika kipindi hiki cha uchaguzi.

1. Alipoondokewa na mkewe mwezi March 2010 - mbona kakwenda kulipoti Polisi?
2. Kama ulifunga ndoa kanisani na mke kaondoka unaenda mahakamani kudai mke au talaka?
3. Kuzidiwa kete si wizi, akubali kuwa hapendwi na labda ana mapungufu ya kufanya mke akamkimbia
4. Nina wasi wasi na usahihi wa vyeti vya ndoa - lakini subiri tutajua.
5. Mahimbo ametudhalilisha wanaume wengi - huyu ni dhaifu hafai hata kumsogelea mwanamke yeyote maishani mwake maana ataendelea kukimbiwa.
6. Mshitaki wake ni huyu mama au slaa?
7. Moja ya nguzo kubwa za ndoa ni uhiari (consent), kama hili halipo ndoa inaruhusiwa kuvunjika.
 
Mkuu Acid hapo kwa Lebron una amini kuna kesi?
could be mazee... pesa ni balaa!!! na pia huyo dad is just a coward ila mahimbo he is not only coward, ni kwamba hafanyi kwa ridhaa yake bali anasukumwa na kikundi cha wajanja wanaomtumia kwa faida yao

Amini nakuambia, three years down the road Mahimbo will be alone without mke wala hao wapambe and most important atakua ameshadhalilisha hadi watoto shuleni na hivyo kuwapa wakati mgumu sana.... usiombe kuwa kwenye media for the wrong reasons

Mahimbo is going to lose big time na hata hao watoto wataona haya kuwa naey tena ni wasichana ndio mbaya zaidi kwake

babake lebron has alredy passed that stage
 
6. Mshitaki wake ni huyu mama au slaa?

Mkuu Jafar hapa naona umenipata, that is the same with the so called Lebron's father badala ya kumshitaki mama yake Lebron yeye anamshitaki pia mtoto aliyemtelekeza!!!!!!!!!!e
 
Ukiangalia kwenye habari leo, Mwanasheria wa Mahimbo anasisitiza kwamba kesi hiyo haihusishi sheria ya Ndoa wala Familia, sasa ni sheria gani itayohusishwa hapo? Mikataba? Mi naona jamaa hawana tuhuma hao zaidi wanatafuta umaarufu kwa migongo ya wenzao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom