du kaka kitoweo wewe unafanya mapambo ,kwa mara ya mwisho kuwaona ilikuwa 1990 ,Simbilisi(jamii ya Sungura .wana umbo dogo)sifa yao kubwa ni kuzaliiana kwa wingi,ndio maana kuna msemo wa kusema watu fulani wanazaliana kama SimbilisiBei gani mheshimiwa.....na wadudu wa zuri wa kufuga kama mapambo...kama una sungura pia tafathali nijulishe
Ni jamii ya Sungura lakini wao wana umbo dogo ni kama panya buku,sifa yao kubwa ni kuzaliaana kwa wingi na ndio maana kuna msemo wa kuwa watu fulani wanazaliana kama Simbilisi,katika maisha yangu nimeona Simbilisi weusi tu.hawa simbilisi ni nini...? una picha ya Simbilisi....?
Hawa ni kama panya buku (wakifanana na sungura hasa kichwani). Kama panya, nao pia wanatumika sana katika tafiti za kisanyansi. Kwa kiingereza wanaitwa "guinea pigs".hawa simbilisi ni nini...? una picha ya Simbilisi....?
Hawa ni kama panya buku (wakifanana na sungura hasa kichwani). Kama panya, nao pia wanatumika sana katika tafiti za kisanyansi. Kwa kiingereza wanaitwa "guinea pigs".
![]()
Yeah...nimewaona zaidi maeneo ya baridi kama Iringa, huku pwani sikumbuki kuwahi kuwaona.ahaaa....kumbe ni huyu....huku Yaeda tunawaita sili (seal) kama sikosei....
hawa simbilisi ni nini...? una picha ya Simbilisi....?
Hehe umenikumbusha vituko vya PIMBI alikuwa anaishia kunawa tu kwenye harakati za kutafuta totozHawa Simbilisi pia unaweza kuwaita PIMBI.
hapana mkuu, mikoa ya kaskazini mnyama/mdudu huyo anaitwa sili. Jina la simbilisi nililisikia mikoa ya nyanda za juu kusini. Lakini kiumbe hicho hicho.Yeah...nimewaona zaidi maeneo ya baridi kama Iringa, huku pwani sikumbuki kuwahi kuwaona.
Hao seal, ni tofauti...wao ni wakubwa na ni wa majini zaidi (wanakaa baharini /pembezoni mwa bahari).
![]()
hawa simbilisi ni nini...? una picha ya Simbilisi....?