johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,848
- 145,885
Mwenezi wa NCCR mh Simbeye amesema Joseph Selasini ni mwanachama halali wa Chadema na alirejea February 2021
Simbeye amesema Joseph Selasini aligombea ubunge wa Rombo kwa tiketi ya Nccr lakini baadae aligombana na wenzake na kuamua kurudi Chadema ambako alipokelewa na kupewa kadi
Hivyo Selasini anafanya yote anayofanya akitokea Chadema
Source Star tv Medani za Siasa
Simbeye amesema Joseph Selasini aligombea ubunge wa Rombo kwa tiketi ya Nccr lakini baadae aligombana na wenzake na kuamua kurudi Chadema ambako alipokelewa na kupewa kadi
Hivyo Selasini anafanya yote anayofanya akitokea Chadema
Source Star tv Medani za Siasa