Simbachawenye George shwaaaaaa

Simbachawenye George shwaaaaaa

kibori nangai

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
1,803
Reaction score
2,631
Wahuni hawana mdaaa


As well as huuelekeee kuwa karibu nao na huendani na matarajio yao

Shwaaaaaaaaa.

Wewe sio chawa. Shwaaaaaaaaaa.

Eti huyu dogo katambi ana misuli ya kutosha wizara mambo ya ndanii

Eeeeee makubwaaa

Ninachoona Katambi ni KACHERO ASEEE,MKUBWA
 
Mwenye cv ya katambi atuwekee hapa tumsome huyo dogo tuone kama ataiweza hiyo wizara yenye wafanyakazi waliopinda!
 
Chawenyewe katolewa kafara kufunika kombe suala la wakatolik fek lisisumbue. Hii ya maburungutu kwa wavhina sijainyaka kama yahusika
 
Back
Top Bottom