Kimataifa Simba walishajiwekea psychological barrier kwamba kilele cha michuano ni robo fainali.
Tatizo la Simba ni la Kisaikolojia zaidi, timu nzima inatakiwa itambue kuna michezo mingine baada ya robo fainali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.