Mario Kempes
Member
- Jun 29, 2021
- 63
- 120
Kuelekea mchezo wa Derby ya Kariakoo Jumamosi, hiki ndio kikosi changu cha first eleven kutoka Simba na Yanga, Simba wamefanikiwa kupenya wachezaji wanne tu huku Yanga wakiwa na wachezaji 7 kama ifuatavyo
1. Aishi Manula
2. Shabani Djuma
3. Tshabalala
4. Mwanyeto
5. Job
6. Bangala
7. Moloko
8. Aucho
9. Kagere
10. Feisal
11. Morrison
Unakubaliana na mimi? Leta mawazo yako
1. Aishi Manula
2. Shabani Djuma
3. Tshabalala
4. Mwanyeto
5. Job
6. Bangala
7. Moloko
8. Aucho
9. Kagere
10. Feisal
11. Morrison
Unakubaliana na mimi? Leta mawazo yako