Makonyeza
Member
- Feb 2, 2020
- 69
- 252
Walianza hivi
Malengo yetu msimu huu ni
Kubeba makombe yote ya ndani tumeanza na mapinduzi cup
Pia lengo letu ni kufika nusu fainali champions league
Kisha wakaendelea
Yanga wao kazi yao kuongoza ligi sisi tunachukua ubingwa
MATOKEO YAKE!!!!!
Champions league hakuna cha nusu fainali wala nusu kijiko
Kwenye ligi nako wameshapotea
Wanacheza kombe la walioshindwa linaitwa shirikisho
Hivi sasa
Wamebaki VAR VAR VAR VAR VAR VAR VAR. Utafikiri VAR nalo ni kombe
juma nassoro Dovutwa
Malengo yetu msimu huu ni
Kubeba makombe yote ya ndani tumeanza na mapinduzi cup
Pia lengo letu ni kufika nusu fainali champions league
Kisha wakaendelea
Yanga wao kazi yao kuongoza ligi sisi tunachukua ubingwa
MATOKEO YAKE!!!!!
Champions league hakuna cha nusu fainali wala nusu kijiko
Kwenye ligi nako wameshapotea
Wanacheza kombe la walioshindwa linaitwa shirikisho
Hivi sasa
Wamebaki VAR VAR VAR VAR VAR VAR VAR. Utafikiri VAR nalo ni kombe
juma nassoro Dovutwa