Simba wamepewa ulinzi


Na hasa baada ya wendawazimu uliofanywa na utopolo baada ya kukeketwa na Mbeya City tujihadhiri na hawa vichaa.

Naskia uto wanatembea na mawe mifukoni...

WanaSimba tuwe makini,. Uto wana wivu uliopitiliza....

Hata hivo kama ulinzi upo hakuna matat


Ahsante kamanda Siro.Ili jambo nimelitamani kwa muda sana.

Bado swala la lifti,mashabiki wa Yanga wanaomba sana lift na kupiga vizinga serikali iwadhibiti.

Ni kweli wanatembea na mawe mtaumizwa chukueni tahadhariView attachment 1702616

😱😁😁😂👍 Na hapo anajiandaa kurusha jiwe kisha atimue mbio au apande juu ya mti. Utopolo mna matatizo sana.
Inatakiwa tuwakere zaidi
 
Nuin

Nyingine hiii hapa.
Kwa shabiki wa aina hii hashindwi kukua au kukupa ulemavu wa kudumu. Hawa watu wapewe elimu/Tiba ya Kisaikolojia
Noma kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…