Fifteen
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 414
- 500
Na wewe umeamini Ili kua ni kwel inafikilisha sana kama wewe ni mtu mzima unafamiliaJwaneng Galaxy anapokelewa Avic Town iliko kambi ya Yanga..
Yanga wanaondoka kwenda Egypt hosteli zao wanawachia wakina Baruti
Mbaya Zaidi video analyst wa Yanga wakamuacha Kambini ili asaidiane na Benchi la Ufundi la Jwanang Galaxy kuisoma Simba,huku wakitoa siri nyingi za Simba..
Yaani wanaenda kucheza Mechi kubwa dhidi ya Al Ahly Lakini waliamua ku lisk wakamuacha mtu muhimu sana wakumsoma mpinzani wao Al Walikuwa tayari kupoteza dhidi ya Al Ahly ili wahakikishe Simba anatolewa inje ya mashindano
Yanga tokeni hadharani semeni Simba Waliwakosea nini,maana mmeanza mda mrefu kuwa Sapoti wageni.
Mbona yanazungumzika tu ,Kumbukeni Barabara mnayopita imechongwa na Simba miaka mitano mfululizo simba wanafanya vyema kwenye mashindano haya
Daaah Ing'asi yemkola nyenye ikondite kwasababu ya Inyarupala yeyakolige kila siku
Kuna nini nyuma ya pazia?
Au Ndiyo ule msemo wa Wahenga wanasema mchawi hataki kuona mtoto wa jirani anafanikiwa?
Viongozi wa Club wanahusika direct kuhakikisha Simba anapoteza mchezo Muhimu.
Mungu Kibidu amebidua jana🤝🙏