ndo upeo wako ulipoishia????Acheni kuishangilia hii timu,Mpira wa kibongo uchawi,mmeshinda usiku kucha kupanda mayai visa,simba wachawi,magoli yenu ya kimagilini sana
Duh,nakuonea huruma kama bado uko kwenye ulimwengu wa watu wanaofikiri hivyo vituko unavyosema.yani umekurupuka huko uje kutueleza hayo nakusikitikia sanaa poleeee!Acheni kuishangilia hii timu,Mpira wa kibongo uchawi,mmeshinda usiku kucha kupanda mayai visa,simba wachawi,magoli yenu ya kimagilini sana