Anselm JF-Expert Member Nov 16, 2010 1,710 291 Oct 3, 2012 #62 Ningekuwa na uwezo ningemwambia Niyonzima aende zake Ulaya tu,hapa Yanga wanamzingua tu
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,557 Oct 3, 2012 #63 naona yanga wanaona litaongezwa huku simba wanajua washashinda raha kweli..oaoa
lutayega JF-Expert Member Feb 29, 2012 1,288 552 Oct 3, 2012 #64 Kona ya yanga haijazaa matunda ila wanafanya mashambulizi mazuri, simba wameanza kuzidiwa
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,557 Oct 3, 2012 #66 Anselm said: Ningekuwa na uwezo ningemwambia Niyonzima aende zake Ulaya tu,hapa Yanga wanamzingua tu Click to expand... pole kwa kuwa nyuma kwa bao moja mkuu Anselm Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Anselm said: Ningekuwa na uwezo ningemwambia Niyonzima aende zake Ulaya tu,hapa Yanga wanamzingua tu Click to expand... pole kwa kuwa nyuma kwa bao moja mkuu Anselm
P Pazi JF-Expert Member Mar 5, 2011 2,946 1,815 Oct 3, 2012 #68 ndetichia said: duu huo mwamba wa mbuyu facebook balaa Click to expand... Hata mie nimetaka kusema huyu KITABUCHAUSI anatusumbua sana. apigwe njumu ya tetenasi.
ndetichia said: duu huo mwamba wa mbuyu facebook balaa Click to expand... Hata mie nimetaka kusema huyu KITABUCHAUSI anatusumbua sana. apigwe njumu ya tetenasi.
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,557 Oct 3, 2012 #69 huyu edward 19 wa simba asipopata red sijui labda wamtoe..
lutayega JF-Expert Member Feb 29, 2012 1,288 552 Oct 3, 2012 #70 Mashabiki wa simba tupige magoti tuanze kuiombea tim yetu kwa kuwa upepo sio mzuri kwetu wachezaji wetu wanajiangusha bila mpango. Yanga wamemuingiza kiiza
Mashabiki wa simba tupige magoti tuanze kuiombea tim yetu kwa kuwa upepo sio mzuri kwetu wachezaji wetu wanajiangusha bila mpango. Yanga wamemuingiza kiiza
Anselm JF-Expert Member Nov 16, 2010 1,710 291 Oct 3, 2012 #71 Kiiza anatoka Domayo anaingia sijui kama ni sub sahihi
Zanta JF-Expert Member Apr 4, 2011 2,028 788 Oct 3, 2012 #73 engmtolera said: sasa watafukuza hadi wapishi Click to expand... hahaahaha
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,557 Oct 3, 2012 #74 Pazi said: Hata mie nimetaka kusema huyu KITABUCHAUSI anatusumbua sana. apigwe njumu ya tetenasi. Click to expand... vipi umeona try yake ingeweza kuwa goli nini..
Pazi said: Hata mie nimetaka kusema huyu KITABUCHAUSI anatusumbua sana. apigwe njumu ya tetenasi. Click to expand... vipi umeona try yake ingeweza kuwa goli nini..
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,557 Oct 3, 2012 #76 Katavi said: Kiiza nje kaingia Dumayo. Click to expand... naona wamewaambia kala hela nini..
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,557 Oct 3, 2012 #79 Anselm said: Simba wanapoteza muda sana Click to expand... muda upo sawa wewe au ushaanza kuona unakufa leo nini..
Anselm said: Simba wanapoteza muda sana Click to expand... muda upo sawa wewe au ushaanza kuona unakufa leo nini..
idawa JF-Expert Member Jan 20, 2012 25,284 38,314 Oct 3, 2012 #80 naona yanga tunaonana kiasi. Hii inatia moyo.