Simba Vs Yanga kesho tujadili!!!

Status
Not open for further replies.
mimi kwa hapa sina ushabiki maana sitaki pressure bora niyasikie hivyo hivyo kwenye vyombo vya habari. jamani mimi nimshabiki kweli kweli na nina upuinzazi wa ukweli hivyo sitaki kupiga kelele ila nasubiria dakika 90 za mchezo, ila nitafurahi sana kama vijana wa jangwani wakiibuka washindi au mnasemaje mzaee
 
Kuchomoa si kufungwa sheikh...
Yanga jana
Yanga leo
Yanga daima...
Leo simba, Bado saa 4 tu mfunge hayo madomo yenu maana naona tangu jana mnasumbua sana hapa jamvini sijui hiyo nguvu mmepata wapi na leo mechi ni live kupitia TBC1 hivyo tuliko nje ya Dar hatuta danganywa ooh yanga tunaonewa labda TANESCO wafanye kazi yao..
 
Hata wewe Home boy? sasa home boy Mbuna vp?

Ha!ha!ha!ha!aaa......mbona unataka kumtenga Nico Nyagawa -Team Captain, tena hommy wa pale Ikelu........!
icon10.gif
icon10.gif
 
Leo simba, Bado saa 4 tu mfunge hayo madomo yenu maana naona tangu jana mnasumbua sana hapa jamvini sijui hiyo nguvu mmepata wapi na leo mechi ni live kupitia TBC1 hivyo tuliko nje ya Dar hatuta danganywa ooh yanga tunaonewa labda TANESCO wafanye kazi yao..

Nyie mliopo nje ya dar ndo mnaua soka la bongo.
huu mpambano ni wa watani wa jadi yaani ni kama ule wa dela madonina kule Milan italy.
nyie mlioko nje ya Dar mnatakiwa mshabikie timu zenu kama mji mpwapwa, toto, kariakoo lindi, lipuli nk nk nk...
Hizi simba na yanga tuachieni wenye mji, acheni kukurupuka na kushadadia yasiyowahusu
 
Na leo Yanga mkiniangusha 'naacha mpira'........Manutd timu...ohh sor Yanga timu, funga hao Simba 2-0 waende msimbazi wakapige rangi jengo lao lile....
 
Wajameni najua wengi wetu na hasa wale mashabiki wa timu hizi mbili sio siri wala nini tuko na kimuhemuhe cha kutaka kujua jinsi mpambano utakavyokuwa hapo kesho pale National Stadium..hebu wakati tukielekea kuianza week end tujadili huu mpambano wa hizi timu. Kwa mtazamo wangu naipa nafasi kubwa Simba ya kuibuka na ushindi kwa kuzingatia sana rekodi yao nzuri ya kushinda mechi 9 walizocheza ingawa hii inaweza isiwe kigezo cha moja kwa moja kwao kupata ushindi lakini kwa mtazamo wa kiutalaamu hii ndio timu bora. Yanga najua ina wachezaji wazuri ingawa kimizania hainishawishi kuipa nafasi sana ya kushinda. Najua soka ni dakika 90...Utabiri wangu Simba 2- Yanga 1
Wewe ni zaidi ya sheikh Yahaya,mi nipo upande wako,na matokeo ni hayohayo!!
 
Kesho rekodi inatibuliwa na watoto wa Jangwani wapo full mzuka
Kwa matokeo ya hii mechi naamini mtakuwa mnasajili makocha wapya kila mechi,yaani mwisho wa papic umewadia,mkipona na quit jamii forums i promise!!
 
Kiama cha Kanda2 kimefika leo ni 3-0 mnataka ndio hivyo, hamtaki ndio hivyo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom