kasyabone tall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2009
- 254
- 59
wanayanga wenzio tushajua leo hatuna ujanja wanamsimbazi mwaka huu wapo juu, Juu zaidi.Hii thread naona wamejaa Simba tu bora nisepe.
wanayanga wenzio tushajua leo hatuna ujanja wanamsimbazi mwaka huu wapo juu, Juu zaidi.Hii thread naona wamejaa Simba tu bora nisepe.
Nitakuwa ground jukwaa la 30K karibunaomba kujua utakuwa uwanjani au utakuwa hapa jamvini..ili baadae nikuone presha ikikupanda na kushuka wakati okwi/mrwanda/mgosi wakifanya mambo..
....aungurumapo mnyama.........
ila mlichomoa
Leo simba, Bado saa 4 tu mfunge hayo madomo yenu maana naona tangu jana mnasumbua sana hapa jamvini sijui hiyo nguvu mmepata wapi na leo mechi ni live kupitia TBC1 hivyo tuliko nje ya Dar hatuta danganywa ooh yanga tunaonewa labda TANESCO wafanye kazi yao..Kuchomoa si kufungwa sheikh...
Yanga jana
Yanga leo
Yanga daima...
Hata wewe Home boy? sasa home boy Mbuna vp?
Ha!ha!ha!ha!aaa......mbona unataka kumtenga Nico Nyagawa -Team Captain, tena hommy wa pale Ikelu........!
Hahahaha hata Mbuna nae ni team captain wa kudumu
Siyo kwamba ameamua ku-concentrate na masomo.Ulishamsahau Pawasa boy.........awa vetenari.......!
Leo simba, Bado saa 4 tu mfunge hayo madomo yenu maana naona tangu jana mnasumbua sana hapa jamvini sijui hiyo nguvu mmepata wapi na leo mechi ni live kupitia TBC1 hivyo tuliko nje ya Dar hatuta danganywa ooh yanga tunaonewa labda TANESCO wafanye kazi yao..
Wewe ni zaidi ya sheikh Yahaya,mi nipo upande wako,na matokeo ni hayohayo!!Wajameni najua wengi wetu na hasa wale mashabiki wa timu hizi mbili sio siri wala nini tuko na kimuhemuhe cha kutaka kujua jinsi mpambano utakavyokuwa hapo kesho pale National Stadium..hebu wakati tukielekea kuianza week end tujadili huu mpambano wa hizi timu. Kwa mtazamo wangu naipa nafasi kubwa Simba ya kuibuka na ushindi kwa kuzingatia sana rekodi yao nzuri ya kushinda mechi 9 walizocheza ingawa hii inaweza isiwe kigezo cha moja kwa moja kwao kupata ushindi lakini kwa mtazamo wa kiutalaamu hii ndio timu bora. Yanga najua ina wachezaji wazuri ingawa kimizania hainishawishi kuipa nafasi sana ya kushinda. Najua soka ni dakika 90...Utabiri wangu Simba 2- Yanga 1
Kwa matokeo ya hii mechi naamini mtakuwa mnasajili makocha wapya kila mechi,yaani mwisho wa papic umewadia,mkipona na quit jamii forums i promise!!Kesho rekodi inatibuliwa na watoto wa Jangwani wapo full mzuka
Kuna clue yoyote ya namna ya kufuatilia mtanange huu moja kwa moja mtandaoni?