Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Asante mwanahistoria... sasa baada ya historia fupi ya timu zote, nani atashinda?
Historia inasema Yanga ya Tanzania haijawahi kufungwa na Simba ya Ilala ktk uwanja wa mpya wa taifa.
Hivyo mi nadhani historia itasimama kama ilivyo more than 10 yrs.....mpo?