Chuji leo game limemkataa na anatolewa na nafasi yake inachukuliwa na Nurdin Bakari, Yanga wanapata free kick na kupaisha pale
Bado Simba 1 Yanga 0 dakika ya 35
naonekana yanga wamerelax sana, nadhani hawana pressure kwa sababu wanacheza kulinda heshima tu na si kutafuta ubingwa, lakini bado ngoma ni tamu kwelikweli
naonekana yanga wamerelax sana, nadhani hawana pressure kwa sababu wanacheza kulinda heshima tu na si kutafuta ubingwa, lakini bado ngoma ni tamu kwelikweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.