Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,657
- 37,821
habari zilizotufikia hivi punde zinasema yule mzee wetu wa kutabiri sheikh yahaya hussein ameitabiria ushindi timu ya yanga kwa mabao 2-1 huku mchezaji mmoja kutolewa kwa kadi nyekundu bila kutaja upande gani;kwenu msimbazi mganga wenu amesemaje:;;;