Kwani wewe ni mgeni hapa JF hata umfananishe Makoye Matale na mashabiki wa mikia? Umeniharibia siku ya leo, hata hivyo tayari nimeoga mara saba kuondoa nuksi hiyo.
Kwani wewe ni mgeni hapa JF hata umfananishe Makoye Matale na mashabiki wa mikia? Umeniharibia siku ya leo, hata hivyo tayari nimeoga mara saba kuondoa nuksi hiyo.
Afu mi nashangaa humu ndani tupo kwa ajili ya kupeana habari za ukweli msilete utani wa jadi. Kwenye habari muhimu tusitaniane kama wewe yanga au simba usilete utani wako hapa na wahuska wakuu likithibitika hilo waftiliwe mbali.
Huwa hafuati mkataba huyo, Uarabuni kaondoka akiwa na mkataba, Yanga kaondoka akiwa na mkataba sembuse wachovu Simba! Azam wakijipendekeza atapoketi chake kama kawaida. Namshauri awe anatembea na mavazi ya bullet proof.
Kwani wewe ni mgeni hapa JF hata umfananishe Makoye Matale na mashabiki wa mikia? Umeniharibia siku ya leo, hata hivyo tayari nimeoga mara saba kuondoa nuksi hiyo.