Simba vs URA National Stadium

Ah...The Maganificent kumbe tupo wote mpaka huku...saaaafi sanaaaa

teh teh teh teh...ndugu yangu osokonoi,mimi ni mtu wa RED tu..nina aleji na njano kabisaaa hopeful hata kwenye siasa wote tupo CHADEMA hahahahahaha!
 
Last edited by a moderator:
Huyu Okwi amekuwa ka mungu kadogo, kila mwaka lazima afunike, mwaka kesho ataibukua Azam.

Baada ya kushinda ile kesi, amesaini mkataba wa miaka miwili, sasa msimu ujao ataendaje Azam? Huyu ni wahapahapa.
 
Baada ya kushinda ile kesi, amesaini mkataba wa miaka miwili, sasa msimu ujao ataendaje Azam? Huyu ni wahapahapa.

Huwa hafuati mkataba huyo, Uarabuni kaondoka akiwa na mkataba, Yanga kaondoka akiwa na mkataba sembuse wachovu Simba! Azam wakijipendekeza atapoketi chake kama kawaida. Namshauri awe anatembea na mavazi ya bullet proof.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…