Wadau tupeane updates
leo,mechi inaanza saa9 .Ni mechi ya marudiano itakayofanyika Angola home
kwa LIBOlO...KARIBUNI
Wadau tupeane updates leo,mechi inaanza saa9 .Ni mechi ya marudiano itakayofanyika Angola home kwa LIBOlO...KARIBUNI
simba inateswa na jina la liboro. yaani ni kama vile unaenda chooni ukajisaidia choo kigumu. lazma ugune ...iiiihiiiiiiiiiïiiiïiiï...hiiii...jina gumu sana kama haja kubwa
Mkuu kama Simba watawatoa LIBOLO basi watakutana na FC Chipumbu ya Msumbiji hivyo kazi bado wanayo.
mkuu kama simba watawatoa libolo basi watakutana na fc chipumbu ya msumbiji hivyo kazi bado wanayo.
Wazee wa kuishia Afrika Mashariki!Simba wameenda kulikalia libolo huko angolam
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Wazee wa kuishia Afrika Mashariki!
Mie nilijuwa upo Angola unashuhudia jinsi Libolo linavyoinanilihii Simba kumbe upo hap hapa bongo bhana! sasa hizo updates tutazipata wapi kama sio kuendelea tu kupiga soga hapa??
simba hawana facebook account ili tufuatilie kama yanga