Simba vs JKT Ruvu

Simba vs JKT Ruvu

Mkuu hawa jamaa mwaka jana ndiyo walio tunyima ubingwa na ilikuwa mechi za mwisho wisho hivi tuka toka sare ya 2-2 huku wachezaji wao wawili wakipewa kadi nyekundu....


ni hawa jamaa pamoja na kagera sugar kwani zote tulitoka sare mwishoni kabisa mwa ligi
 
wasiposhinda leo Yanga lazima kinuke pale Jangwani, yaani wapoteze pointi tisa ndani ya siku tatu????
 
Coastal 1 na Polisi 0.................
 
wasiposhinda leo Yanga lazima kinuke pale Jangwani, yaani wapoteze pointi tisa ndani ya siku tatu????
Hivi rufaa yao imesha tupiliwa rasmi maana jana nilisikia tetesi kuwa imetupwa...
 
Hivi rufaa yao imesha tupiliwa rasmi maana jana nilisikia tetesi kuwa imetupwa...
Rufaa imeishatupiliwa mbali, ilikuwa haina mashiko. Msimu uliopita Yanga walichukua Ubingwa kwa mbeleko ya Toto na msimu mbeleko imechakaa.
 
Back
Top Bottom