Super Sport wametuwekea Live Simba -0 na Prison - 1 lkn tumeenda wapi? Fulham v/s ManCity? Au Everton -0 v/s soton -1 au au tupo Readings v/s NCastle muwe mnarudi nyumbani
soka la bongo ni rushwa, fitna na majungu tu
ni sawa na kusoma uwazi na ijumaa
mimi pia simba, ila wachezaji hawatabirikikaka subiri mechi iishe mimi simba ujue halaf niko uwanjani
Tueleze mazingira ya hiyo kadi mkuu.kama hauko uwanjani tula maftah kapewa nyekundu utabjri umetimia.
Tueleze mazingira ya hiyo kadi mkuu.
Kijana Ngalema ataziba hilo pengo, acha wafanye fitina lakini dakikia 90 zitaongea siku hiyo.kwanza mods warudishe post yangu then kadi ilikuwa faul ya kwaida na haikustahili hata yellow card but imetoka red wakuu sijui kama ndo fitna za ynga au vipi lakini mpira uuawa. Umeisha simba 2 -1.
Mkuu matokeo ni Simba 2-1 Prison, aliyeweka mbili mbili atakuwa amevuta bangi.Mbona hamueleweki? Mpira umeishaje?
Ni kweli Amir Maftah kaonyeshwa kadi nyekundu, mazingira ya hiyo kadi matngazaji hata hakueleza sijui ilikuwaje.Na hili la maftah kuonyeshwa kadi nyekundu ni kweli?