unafahamu mgawo wa hisa au unaongea tu?btw Simba haiwezi kuvurugana ,itarecover ndani ya mwezi mmoja au miezi miwiliSimba inatakiwa isipate Kocha miaka miwili Ili mvurugane vizuri timu urudi kuwa ya mashabiki sio familia.
Unazungumza kuhusu hisa za kwenye maratasi? Hisa zenu nyinyi ndio zinanguvu ktk makaratasi ila kivitendo hisa za upande wa pili ndio zinaamua tumuuze nani na nani tununue marco polo tata na golden dragon.unafahamu mgawo wa hisa au unaongea tu?btw Simba haiwezi kuvurugana ,itarecover ndani ya mwezi mmoja au miezi miwili
mbona nye gsm anawaendesha anavyotaka pamoja ,maamuzi yanafanywa na GSM kina mswala na wananchi wamekaa tu kama mazuzuUnazungumza kuhusu hisa za kwenye maratasi? Hisa zenu nyinyi ndio zinanguvu ktk makaratasi ila kivitendo hisa za upande wa pili ndio zinaamua tumuuze nani na nani tununue marco polo tata na golden dragon.
Hii itakua kwa maslahi ya nani mkuu ?Simba inatakiwa isipate Kocha miaka miwili Ili mvurugane vizuri timu urudi kuwa ya mashabiki sio familia.
"Viongozi" gani wa Simba walioikimbia timu mkuu ?Viongozi wa Simba ni wapuuzi ,timu inapofanya vizuri wanajitokeza mbele,inapofanya vibaya wanaikimbia
🤣🤣🤣🤣🤣.... GSM hawezi kuingilia technical bench hasirani abadani.. ila kwenu huko jamaa anaweza kuamka asubuhi akasema "mechi ya leo nataka mipira yote ipitie kwa Morrison.. .halafu kipindi cha Kwanza tuuwe winga la kulia"... Mkikataa anasusa.mbona nye gsm anawaendesha anavyotaka pamoja ,maamuzi yanafanywa na GSM kina mswala na wananchi wamekaa tu kama mazuzu
For the long run- Maslahi mapana ya wanasimba..Hii itakua kwa maslahi ya nani mkuu ?
Ambayo ni yapi ?For the long run- Maslahi mapana ya wanasimba..
Time will tell.. ila trust me, kuna shida kubwa Sana.. na issue sio makubaliano ya uendeshaji.. issue ni kariba ya Mudi.Ambayo ni yapi ?
Maana hao hao wanaSimba ndio waliyapitisha haya mabadiliko ya uendeshaji wa klabu yao.
technical bench ipi unayozungumzia wakati engineer ndo anayewafuata wachezaji mwenyewe na kuwasajili🤣🤣🤣🤣🤣.... GSM hawezi kuingilia technical bench hasirani abadani.. ila kwenu huko jamaa anaweza kuamka asubuhi akasema "mechi ya leo nataka mipira yote ipitie kwa Morrison.. .halafu kipindi cha Kwanza tuuwe winga la kulia"... Mkikataa anasusa.
Injinia ndo gharib?technical bench ipi unayozungumzia wakati engineer ndo anayewafuata wachezaji mwenyewe na kuwasajili
HersieInjinia ndo gharib?
Hii ni point kakaHivi kwanini TFF wasiweke Sheria itayaoamua kua Walimu nao wawe na kipindi chao cha usajili.. yaani dirisha likifungwa ndio mpaka Msimu ujao.
Acha uongo.. gsm si ndo anaezunguka kote huko congo na kwingineko kutafuta wachezaji wa kusajili au mnaji sahaulisha.. more hafanyi ujinga huo🤣🤣🤣🤣🤣.... GSM hawezi kuingilia technical bench hasirani abadani.. ila kwenu huko jamaa anaweza kuamka asubuhi akasema "mechi ya leo nataka mipira yote ipitie kwa Morrison.. .halafu kipindi cha Kwanza tuuwe winga la kulia"... Mkikataa anasusa.
Thibitisha hiyo aya ya pili vinginevyo ukishindwa ni majungu tu na itakuwa timu imedorora kifomu sasa mtafuta visingizio nafuu.Simba pana shida sn sn.
Sijui kama watapata matokeo ya kueleweka this season.
Halafu kuna nguvu kubwa sn inatumika na wapinzani wenu kwenye kuwadidimiza
Unataka Yanga iwe inamaliza ligi bila kocha ?Hivi kwanini TFF wasiweke Sheria itayaoamua kua Walimu nao wawe na kipindi chao cha usajili.. yaani dirisha likifungwa ndio mpaka Msimu ujao.
Ana mafanikio yapi ?Hoja mfu sana hii ,hakuna kocha mzuri ambaye yupo tayari kuishusha cv yake ukizingatia bado kinda kabisa kwenye game
Huyu anatufaa sana hoja za kujuana na Senzo tupa kule
Nani kaikimbia ?Viongozi wa Simba ni wapuuzi ,timu inapofanya vizuri wanajitokeza mbele,inapofanya vibaya wanaikimbia