namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 608
kwa mara ya kwanza jana nilikaa VIP ya elfu 20,kwa mara ya kwanza jana niliingia uwanjani saa 6,kwa mara ya kwanza jana sikuthubutu kuingia Jf jukwaa la sport ili kusoma na kutuma post kilichojili uwanjani,kwa mara ya kwanza jana kufuatilia michezo yote 2 yaani ule wa watoto na baadae game kuu kwa umakini wa hali ya juu na kumsoma mchezaji mmoja mmoja,nimegundua Chuji ni noma pia Barthez anastaili kuitwa timu ya taifa,pia jana niyonzima alikuwa moodless na game ya jana,